@kishoka_ Umuhimu wa cheti cha kifo: Ni uthibitisho rasmi wa kifo unaowezesha taratibu za mazishi, mirathi, mafao, na masuala mengine ya kisheria na kiutawala.
Tupo Ili kujifunza💪
@MkulimaKante Kiukwel mpaka leo waga najiuliza Tonya Ndo aliandika hizi hapa
1.Dunia mapito
2.Siamini macho yangu
🔥🔥🔥Km aliandika mwenyewe alitisha hatar Kila kitu Hadi saut jamaa alitulia mnooo
Kama ingekuwa ni uamuzi wangu, labda nisingechagua hata kuzaliwa. Maana kila ninapowaza ipo siku nitawaacha ninaowapenda, na nikikumbuka maumivu ya kuondokewa, hakika nisingekubali.🙏