kuachana ni sawa
kupoteza marafiki ni sawa
kuanza upya ni sawa
kuuguza majeraha ni sawa
kusema hapana ni sawa
kuwa peke yako ni sawa
kitu ambacho si sawa ni kuendelea kubaki mahali ambapo huna furaha, huthamimiwi, hupendwi, au hupewi heshima yako. Kuwa zoma SI SAWA