Just to be clear, if my child goes out with y’all and y’all return and my child is nowhere to be found, and there’s no answer in sight, your moms are going to be just as sad as I am.
Thank you for coming to my Ted Talk.
Leo IMF na Benki ya Dunia wametoa ripoti mbili muhimu sana. Nilichokiona ni kwamba, taasisi hizi mbili zimefika kwenye hitimisho moja. Dunia imebadilika, lakini Afrika bado haijabadilika kwa kasi inayotakiwa.
IMF inasema:
- Afrika sasa haishindani na Ulaya. Inashindana na Asia.
- Mapinduzi ya AI, semiconductors na data centres yanafanyika nje ya Afrika.
- Bara linakosa productivity revolution. Uchumi unakua, lakini uzalishaji wa kila mfanyakazi bado ni mdogo.
- Bei za chakula na mafuta zinaendelea kuliumiza bara kuliko maeneo mengi duniani.
- Misaada inapungua wakati mahitaji yanaongezeka.
Benki ya Dunia inasema:
- Hakuna nchi ya Afrika iliyopanda daraja la kipato mwaka huu.
- Afrika inazalisha utajiri, lakini Waafrika wengi hawaongezi kipato kwa kasi hiyo.
- Maliasili peke yake hazitoshi. Manufacturing, exports na taasisi imara ndizo zinazopandisha uchumi.
- Nchi nyingi zimekwama kwenye Lower Middle Income Trap.
- Changamoto kubwa ya Afrika siyo umasikini. Ni uzalishaji mdogo.
Kwa kifupi, taasisi hizi mbili zinasema jambo lilelile kwa lugha tofauti.
Karne iliyopita waliokuwa na maliasili walipata tija. Karne hii inawalipa wanaozalisha zaidi kwa kila mfanyakazi, wanaongeza thamani ya bidhaa zao, na wanaojenga taasisi imara.
Hapo ndipo mjadala wa kweli wa maendeleo ya Afrika unapaswa kuanzia.
i remember when i first started dating my ex .. and we used to do midnight calls, one day i called her she didn’t pick, so i texted her “ hey honey are you home ? pick your call” that was how her mom texted back “ honey is sleeping o, this is the bee ” 😭😭
Stay strong kaka, Watanzania wana Imani na wewe. Wauwaji wanajaribu kukuchafua ili uwe mchafu kama wao na wizi wao na ufisadi wao.
Pesa wametoa wananchi ila wanaolalamikia pesa hizi ni wauwaji wa October 29 mpaka wanalipa watu kukuchafua. Wao wanaumwa nini roho? Sisi wananchi tunaotoa hizo pesa tuna Imani na wewe na matumizi ya pesa.
Pumbav, pesa tutoe sisi wananchi ila vinembe viwawashe wao….
Pumbav, na Rolls Royce tutamnunulia Lissu akitoka jela ili wauwaji wafeee kabisa.
reading is actually one of the craziest things humans do. you stare at a bunch of tiny black symbols on a page… and somehow your brain builds entire cities, faces, voices, emotions, and worlds that never physically existed.
Ningeomba kila Mtanzania afikirie kwa kina na kisha tutoe mawazo yetu nini kibadilike kwa wanaharakati.
Mimi personally naona kama wanaharaki wengi harakati zao zinaharibu movement kuliko kupeleka movement mbele.
Just because tuko same side doesn’t mean tuangalie tu pale some of us kazi wanayofanya ni more damaging to the movement kuliko kusaidia movement.
Yani mpaka naona kama kunahitajika training ya wanaharakati kufanyika au labda kuwe na group la wanaharakati ambapo kabla mtu hajaposti upuuzi wowote ambao katumiwa DM anatuma kwenye group then wanaharakati wengine wanatoa mawazo.
Too much fake news na ukurupukaji wa habari kitu ambacho sasa kinafanya wanaharaki wote tuonekane waongo with zero credibility.
Yani wao kila kitu anachotumiwa DM wanaruka nacho without thinking.
Hakuna strategy ya mapambano hakuna matumizi ya akili, hakuna strategy ya kuondoa wananchi uwoga na kuwawekea safe space ya kukutana na wananchi wenye fikra kama zao. Hakuna effort ya kujenga sailoji ya wananchi ni kuposti upuuzi wanaokota okota huko.
Wanaharakti wengi are killing the movement instead of advancing it kwa sababu ya ukurupukaji.
Hawajui hata target audience yao ni nani na jinsi ya kuwatengenezea safe space kwenye platform zao. Wao wanadhani the whole of Tanzania is their target audience, hapana target audience ni Watanzania wanaodai ha tu.
Naomba tushauriane jinsi ya kudili na hili tatizo.
Mfano I saw 3 huge mistakes just this last week alone, tena wiki ya maandamano, Story ya kimama kukimbia nchi, then akajitokeza kuwaharibia credibility kwa wanancji, ile barua feki ya wanafunzi wa vyuo vikuu na mbaya zaidi ile ya jana usiku wa manane wanaharakati wanaposti na kuriposti habari ya kuwaarifu Watanzania kuwa wauwaji wa KMKM kutoka Zanzibar wameingia bara na kuvalishwa nguo za polisi, really, hii ndio message ya mwisho wanaharakati kuwapa waandamanaji??? So CCM wawape habari za kutisha na nyie pia muwape za kutisha.
Alafu naomba mnisamehe kwa ambao nitawakwaza. Sio kama nataka kuwa kiongozi wa movement au kujifanya mjuaji na wengine hawajui, hapana hakuna kiranja kwenye hii movement, wote tuko sawa ila lazma turekebishane la sivyo hakuna mwananchi atatoka kuandamana kwa kuhamasishwa na watu ambao hawana credibility!!!! THIS IS WHY NAONGEA!!!!!!!!! Bila kujenga credibility na uaminifu na u-seriousness na kujenga saikolojia za Watanzania hakuna Mtanzania atatoka kuandamana tena, watakuwa wanafanya maandamano ya kukaa ndani, which is not enough
let people reintroduce themselves to you, even your closest friends. let them reintroduce their hobbies, dreams, and soul. familiarity shouldn't be a cage. love them for who they are now, not just who they were then.