Bwana Kitila Mkumbo!!
Taifa halifi kwanza kwa kukosa rasilimali, hufa pale watu wake wanapoanza kuogopa kutumia akili zao.
Kuna tofauti kubwa kati ya elimu na akili. Elimu ni zao la akili. Kabla ya kuwepo shule, vitabu na vyuo, kulikuwepo akili iliyouliza maswali, ikafanya uchunguzi na kuumba maarifa. Ndiyo maana jamii inayoheshimu elimu lakini inaadhibu fikra huru, hujenga wasomi lakini si wenye hekima.
Hatari kubwa ya wakati wetu si ukosefu wa elimu, bali ni pale kufikiri kwa kina kunapoonekana kuwa kosa, na ujinga unapoonekana kuwa salama. Siku ambayo watu wataogopa kusema ukweli wanaouona kwa sababu ya hofu, siku hiyo taifa litakuwa limeanza kupoteza uhuru wake wa ndani, hata kama bendera yake bado inapepea.
Na taifa haliishi peke yake. Heshima ya taifa mbele ya mataifa mengine ni mtaji usioonekana, lakini wenye thamani kubwa kuliko mali nyingi zinazoonekana. Ndiyo maana mataifa huwekeza katika diplomasia, hujenga uaminifu na hulinda taswira yao kwa uangalifu mkubwa. Ni rahisi kubomoa sifa ya taifa kwa kauli moja, lakini inaweza kuchukua miaka mingi kuijenga upya.
Mahusiano ya kimataifa si mali ya serikali pekee, ni urithi wa kila raia. Ndani yake kuna biashara, uwekezaji, elimu, utalii, ajira na ndoto za mamilioni ya watu. Kauli inayodhoofisha hadhi ya taifa haimuumizi mtawala pekee, humuumiza mfanyabiashara, mwanafunzi, mkulima, mwekezaji na kijana anayesubiri nafasi yake duniani.
Pia , tunapaswa kukumbuka kuwa sehemu kubwa ya fedha za kigeni zinazoingia nchini hutegemea imani ya dunia kwa Tanzania. Wageni wengi wanaotembelea nchi yetu wanatoka Marekani, Ulaya na mataifa mengine yanayotuangalia kupitia taswira tunayoiunda kila siku kwa maneno na matendo yetu.
Hekima ya kweli si kusema kila unachoweza kusema, ni kujua athari ya kila neno kabla halijatamkwa. Kwa sababu mwisho wa yote, maneno hujenga historia, na historia ndiyo huamua hatima ya vizazi.
Bwana Kitila , tafadhali usikatishe watu tamaa kusomesha watoto.
🚨🔴⚪️ BREAKING: Bruno Guimarães to Arsenal, HERE WE GO! 🇧🇷
Agreement in place with Newcastle after long talks and personal terms in place with Bruno since July. Fee worth £75m.
New midfielder for Mikel Arteta. 🔜
🚨 Newcastle United to sanction sale of Bruno Guimaraes to Arsenal for £75m. #AFC started lower, #NUFC wanted higher but compromise in process of being sealed to grant 28yo Brazil int’l midfielder desired move. Lyon entitled to 20% of profit @TheAthleticFC https://t.co/e1rrfvZTMS
#BBCAfricaEye profiles Tanzanian opposition leader Tundu Lissu, who has spent more than a year in prison on treason charges for which he could face the death penalty.
He survived an assassination attempt in 2017 when he was shot 16 times.
🎥 Full film: https://t.co/WRWXi1oWur
Nimemsikia kijana wa ccm anasema mimi kumwambia Mzee wetu Wasira astaafu kwasababu ya umri mkubwa ni matusi .
Pia huyo kijana amesema yeye ni kijana kutoka Mkoa wa Mara.
Je Mzee Warioba ni Mzee kutoka Mkoa gani?
Je anajua kwamba miongoni mwa mawaziri kwenye serikali hii aliwahi kumvuta , kumkaba na kudhalilisha vibaya mzee Warioba kwasababu mzee wetu alitaka katiba mpya na bora?
Huyo kijana kwa kudhalilisha Mzee wetu chama chao kimempa vyeo vingi kama zawadi.
1. Ukuu wa wilaya
2.Ukuu wa Mkoa
3. Uenezi wa ccm
4. Uwaziri na ubunge wa kupewa.
Je kwa huyu kijana anaejiita wa Mkoa wa Mara,
kumwambia mzee kustafu kwasababu huwa anasinzia kwenye vikao na mambo ya msingi yanampita ni matusi kuliko mtu anaepiga Wazee?
Je huyu kijana amewahi kukemea tukio la Mzee Warioba kudhalilishwa?
Je amewahi kukemea watu kutekwa akiwemo katibu Mwenezi wa ccm bwana Polepole?
Je ni vibaya kumwambia mtu astafu na kuachia kizazi kipya ni vibaya kuliko mauaji ya Oktoba 29? Huyu kijana amewahi kusema nini kuhusu mauaji hayo au hajui wapo Wazee pia waliuwawa kwenye yale matukio?
@MariaSTsehai Watz tungekuwa na akili, Samia hatakiwi kuwepo madarakani ata Kwa mwezi mmoja.
Ni mwizi, muuaji na kiumbe chenye uwezo mdogo sana wa kufikiri. Ujasiri wa kufanya matendo ya kishetani unatokana na low IQ aliyonayo.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya anayofanya Samia.
Mikel Arteta on a reported potential swap between Julian Alvarez & Viktor Gyökeres: “I’m not going to talk about a player that isn’t ours. Gyökeres is going to stay.” ❌🇦🇷 [@victor_llebaria]