Kwa wale mnaopenda kusali Zaburi:
Anza na Zaburi 51 kuomba toba na utakaso wa moyo, endelea na Zaburi 40 kuomba Mungu akuinue katika magumu, kisha Zaburi 91 kuomba ulinzi wake kila siku, malizia na Zaburi 150 kwa sifa na shukrani kwa ukuu wa Mungu. 🙏
Wafilipi 4:8
“Hatimaye, ndugu zangu, mambo yote yaliyo ya kweli, yote yaliyo ya staha, yote yaliyo ya haki, yote yaliyo safi, yote yapendezayo, yenye sifa njema; ukiwapo wema wowote, ikiwapo sifa njema yoyote, yatafakarini hayo.”
Zamani nilijua mtu akiwa anaongea mwenyewe nichizi sasa naelewa sio wote machizi kumbe kuna calculation unazifanya kichwani zinakataa inabidi mdomo ufunguke tu.