@durreadan01 Yeah, it's so crazy how the Pixel doesn't have a giant black pill blocking the top of the screen. Truly a tragedy. π I'll take a minimal hole punch over the dynamic island any day.
@TheAppleDesign Calling it junk when Apple hasn't even figured out how to make a foldable phone yet is wild At least Android OEMs are actually innovating and taking risks instead of releasing the exact same slab phone every single year
@ShijaDenis nadhan main target ya Google kwa Pixels sio kutengeneza the most capable phone in terms of hardware performance, bali focus yao ni kutengeneza the most useful AI phone inayotegemea zaidi smart software kuliko raw power
@ShijaDenis Kiukweli kuna very few to no new features mpya hardware wise ukilinganisha na Pixel 10 Pro. Na ukiangalia software wise, features zote zitakuwa available kwenye Pixel 10 Pro. Sioni kabisa umuhimu wa mtu mwenye Pixel 10 au 9 ku upgrade kwenda 11 kwa sasa
@Samaytwt On Android half the libraries and frameworks YouTube needs are already built directly into the operating system. On iOS, Google has to ship the entire package from scratch. Also the Play Store is showing the compressed download size which unpacks to be much larger once installed.
@ShijaDenis Kikubwa ni location, angalia mtandao upi una nguvu mtaani kwako. Ila Voda ndio the best ukitaka true unlimited. Wengine wana speed limits Tigo (Yass) 64GB/siku na Airtel 1TB, ukivuka wanashusha speed. Voda utashusha hata 100TB na speed haishuki. Halotel sijajua cap yao bado
@Dreamyduusk For everyone confused: The older man standing directly behind her used a lit cigarette to burn dozens of holes into the back of her pink jacket while they were in the crowd, likely without her even realizing it. Just awful.
@durreadan01 256GB has always been my absolute max, and I've literally never managed to max it out. With most of my stuff self hosted anyway, I genuinely don't know what people are hoarding on their local storage to need 512GB+π€·ββοΈ
@Mwaniki7525 Honestly, the absolute saddest part about this whole thing is that people were actually sitting there donating and sending gifts on the live while it was happening. Just dark. π
@YourbroRishabh I'd argue their displays and build quality still justify the price tag! But you're right, OneUI is the absolute MVP of the Android space right now π₯
@asiliasali Hata kama kisheria ya dini/asili ina mantiki yake kwa baadhi ya watu kijamii na kisaikolojia hiyo ni kufungulia milango ya migogoro ya kifamilia na vituko visivyo na sababu. Mtoto aliyelelewa kama binti au ndugu yako leo anageuka mkeo? hapo kioja kimezidi kipimo
@ShijaDenis Spotify bado inatumia lossy compression format ya AAC/Ogg Vorbis kwenye max bit rate ya 320 kbps Pia kama unasikiliza kwa Bluetooth (kam hizo OnePlus Buds au bufa) audio inabidi iwe recompressed na Bluetooth codec kama AAC/SBC kabla haijafika kwenye masikio yako so tofaut hutaona