Uso mzuri, umbo nzuri au urefu vinaweza kuwa vya kuvutia, lakini havina uhusiano wowote na kujitolea, heshima, uelewa, utangamano, mageuzi na upendo. Hata hawataweka kivutio mahali pake - mtu anaweza kuonekana kuwa asiyefaa kupitia matendo yake.
Uwe na siku njema
@Bigsyke20@EsirEid Sisi wakristo hatufungi kwa kumfata mchungaji furani ila tunafunga kwa kufata mafundisho ya Yesu Kristo kupitia Biblia.
Mfano: ukisoma Mathayo 6:16-18 Yesu anafundisha tufunge kwa namna gani pia Isaya 58:6-7 inatufundisha matendo ya kufanya wakati wa funga.
@Bigsyke20@EsirEid Huko ulipoenda ndio kwa machipilingi, mtu anafunga mchana ila usiku anakula kama kawaida na anafanya mapenzi na mkewe kawaida sasa hiyo ndo funga gani?