Two Nations. One Dream. 🇹🇿🇪🇬
A powerful symbol of Tanzania–Egypt friendship: EgyptAir’s special flight to Dar es Salaam for the opening of the Julius Nyerere Hydropower Project.
From the Nile to the Rufiji, two nations connected by partnership, engineering and a shared vision of development.
Julius Nyerere Dam a landmark of African ambition.
Step up to the sky leaders — the strongest and most advanced fleet in Gulfstream history, offering an aircraft for every mission.
Discover more: https://t.co/acDKTocu5b
WATCH: The massive power of the Rolls-Royce Trent 1000 during an engine run-up
Fun fact: Engine OEMs earn the majority of their profits not from selling jet engines outright, but from long-term service contracts tied to those engines.
📹: nofer_k
This isn’t a @SpiritAirlines Hub, this is the Goodyear Airport in the Phoenix area. The long line of parked planes is likely a mix of planes awaiting engine repairs and aircraft Spirit has given up as it reduces its fleet size.
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TABORA, UZALISHAJI WAANZA RASMI
▪️Kiwanda chenye thamani ya Shilingi Bilioni 7.9 chaanza kuzalisha nguzo 80–120 kwa siku
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na kukamilika kwa ujenzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Nguzo za Zege cha TCPM kilichopo mkoani Tabora, ambacho sasa kimeanza rasmi uzalishaji wa nguzo hizo kwa ajili ya kuimarisha miundombinu ya usambazaji wa umeme nchini.
Katika ziara ya Kamati leo, tarehe 12 Machi 2026 ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Subira Mgalu (Mb), ilitembelea kiwanda hicho kinachomilikiwa kwa asilimia 100 na Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kampuni yake tanzu ya TCPM.
Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Mhe. Mgalu ameishauri Wizara ya Nishati kuweka mikakati ya kujenga viwanda zaidi vya nguzo za zege katika kanda mbalimbali nchini kwa kushirikiana na wawekezaji wa ndani ili kuongeza uzalishaji na kukidhi mahitaji ya taifa.
Ameeleza kuwa matumizi ya nguzo za zege katika usambazaji wa umeme yataongeza uimara wa miundombinu ya umeme na kupunguza changamoto ya kuoza au kuanguka kwa nguzo za miti, hali ambayo imekuwa ikisababisha hitilafu za mara kwa mara katika baadhi ya maeneo nchini.
“Tumeona mradi wa kihistoria ambao ni alama ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hii ni hatua kubwa na mapinduzi katika sekta ya nishati,” amesema Mhe. Mgalu.
Awali, Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameeleza kuwa ujenzi wa kiwanda hicho ulianza Oktoba 2024 na kukamilika Februari 2026 kwa gharama ya shilingi bilioni 7.9.
Amesema kiwanda hicho kina uwezo wa kuzalisha nguzo za zege kati ya 80 hadi 120 kwa siku, hatua itakayosaidia kuongeza upatikanaji wa nguzo hizo nchini, hususan katika kipindi ambacho mahitaji ya TANESCO yanaendelea kuongezeka.
“Kwa sasa TANESCO imeanza kutumia kwa wingi nguzo za zege hasa katika maeneo ya mijini, maeneo oevu pamoja na maeneo yenye changamoto ya kuwaka moto wakati wa shughuli za kilimo,” amesema Ndejembi.
Ameongeza kuwa katika mwaka wa fedha 2025/2026 TANESCO ilikuwa na uhitaji wa nguzo za zege 200,000, wakati uzalishaji wa sekta binafsi hauzidi nguzo 80,000, hali inayoonyesha bado kuna pengo kubwa la uzalishaji nchini.
Kutokana na hali hiyo, Waziri Ndejembi amewakaribisha wawekezaji wa sekta binafsi kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vya nguzo za zege, akitaja ukanda wa Mbeya na maeneo mengine kuwa na fursa kubwa ya uwekezaji katika sekta hiyo.
1. 🚀 Are you an African aviation professional ready to accelerate your career in 2026? ✈️🌍
👉 Ready to be part of the next generation of African aviation leaders?
Apply now: 🔗 https://t.co/ubdgtlwWIT
Emirates: 120 Boeing 777-300ERs.
Qatar: 57.
Air France: 43.
United/American: around 20 each.
It's not even a contest.. Emirates owns this plane. But why did they order so many back in the day while others spread bets on A350s? Looking back, was that the best move ever or just way too much now that efficiency is super important?