Mwaka 1915 Kuna Wanamke alichelewa kwenye mazishi ya Dada yake akaomba wamtoe kwenye Jeneza ili aone Uso wake kwa mara ya mwisho, Walivyofunua tu yule Dada alimwangalia kwa Tabasamu na kuamka. Dada alikuwa anaitwa Essie Dunbar na aliishi kwa miaka 47 mingine.