Hakuna usaliti wa unyama duniani kama yule uliyemwamini kama rafiki,ndugu,jamaa na mwenzi wa karibu ambaye Amelia sana kwa majozi wakati unamaliza historia yako ya Dunia kama anaenzi maisha yako halafu mara siku moja baada ya Maziko anafanya Sherehe kufurahia tena Kifo chako.
Mtu MNAFIKI na mwenye HILA ni yule anayekuchekea ukiwa mwenye afya njema na kukuonyesha mwema wakati huo ila ukishapotea kwenye ulimwengu huu wa muda anabeza hata wema wako na hata ucheshi wake kwako unageuka sura ya Mbwa mwitu na fisi.
Na Wa mwisho ni yule aliye katikati na kukosa msimamo kwa kitu kile anachokiamini na kushindwa kufanya maamuzi na kukisimamia.Jitathmini upo katika Kundi gani?Prof Nyagori
Duniani kuna watu 3 wa mitazamo inayowatenganisha.Wa kwanza ni anayefurahia mafanikio ya mwingine na kutamani kujifunza kupitia kwake,Wa pili ni aliyeumbwa kutokubali nafanikio ya mtu na huwezi kumbadilisha mawazo yake maana moyo wake umejaa hila.