Hauwezi kuuwa maelfu ya watu alafu ukataka utuongoze. This is the only truth that Samia Suluhu and her crooks need to accept and bow out. Ni mwendo huu hadi wauwaji mnaende jela, na wananchi warejeshe nchi yao. Heshma ya utu wa Mtanzania itarejea. We’re just getting started!
‼️🚨Ujasiri wa Karne‼️
Ni kwa matumaini makubwa ya ukombozi wa Tanganyika kwamba vijana wetu wa mstari wa mbele GenZ wameandamana na kuandamanisha vyombo vyote vya ulinzi kwa wiki mbili mfululizo.
👉🏽Tumeshuhudia likizo zote za polisi zikifutwa na wakiamriwa kuandamana
mitaani kwa masaa 24 kwa malipo hafifu
👉🏽Tumeshuhudia makamanda wote wa juu wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi
wa Tanzania (JWTZ) wakipokonywa likizo zao na kulazimishwa kuandamana na kukesha ofisini.
👉🏽Tumemwona Mussa Azzan Zungu
akiandamana kutoka Dodoma mpaka Kurasini kuwabembeleza Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wasikilize kilio chake cha kuomba
maandamano yasitishwe.
Hatutapokeaa siasa za uponyaji kwani majeraha na makovu yetu ni alama na kumbukumbu za ukatili wa gaidi Samia Suluhu Hassan anayeshirikiana na familia yake ya gaidi Abdulhalim Hafidh Ameir, gaidi Wanu Hafidh Ameir (watoto wa Samia Suluhu Hassan), na gaidi Mohamed Mchengerwa (mkwe wa Samia Suluhu Hassan na mume wa Wanu) chini ya mwavuli wa Chama cha Magaidi (CCM - Chama cha Mapinduzi).
Sisi ni Washindi!
A luta continua, vitória é certa!
Mapambano yanaendelea, ushindi ni hakika!
#SamiaMustGo
Dear deceased compatriots, may your blood keep speaking up that Samia Suluhu’s bloody regime may never know peace.
Hauwezi kuuwa watu kiasi hiki alafu ujifanye unalinda amani na upuuzi mwingine!
We are sorry, comrades, U didn’t deserve this!
Tunataka uwajibikaji!
‼️THIS IS IT‼️
Today it has become crystal clear:
The government is under strain
The economy is under financial strain
This is untenable!
It is clear Tanzanians will not relent or tire until they get justice for #TanzaniaMassacre
Samia Suluhu and her murderous cabal - either you give the People justice now or run away from justice in Tanzania!
And because this is untenable this has to be resolved before the end of the year or #Tanzania risks facing total collapse on all fronts!
Justice is coming anyway and Samia Suluhu will HAVE TO face justice either in exile or in the courts of Tanzania
#SamiaMustGo
A criminal who will never know peace. TZ is shutdown since morning as she fears legitimate protest against her bloody rule. Mnuka damu za watu asiye na maana🚮