I take this opportunity to thank our men in uniform for the work well done at our roads during holidays, this time they are not asking for kitu kidogo but they are helping wanjiku katika kupasua jam and especially Nakuru-Nairobi highway.... Mind you this is thru experience.Kudos
These lyrics in Boaz Danken's song 'HAUFANANISHWI' have ministered to me so powerfully this morning after my prayers. Kwamba Mungu ni MPASUA BAHARI!
Anafanya mambo ambayo, mwanadamu hawezi kufanya!
Nakuombea kwamba huyu Mungu atakupasulia BAHARI na kukufanyia mambo makubwa!!