Ukitaka kujua kiwango cha ujinga na uwezo mdogo kwa hawa watu sikiliza wanachosema…
Yaani huyu ni Waziri!!!! Kwamba wizara nzima, serikali yote mwaka 2026 miaka 65 baada ya Uhuru hawajui namna ya kutatua tatizo la foleni kwenye mji mmoja tu Dar?
Unawezaje kuwa na watu kama hawa, wanaua watu ili wabaki madarakani, hawana hata plan ya kuondoa matatizo ya watu?
Waziri mzima hajui hata namna ya kuondoa foleni tu!!! Na sio huyu tu, huyu anasema ni wao wote hawajui hata namna ya kutatua matatizo, kilimo, maji, Nishati, uchumi,Elimu , Afya nk!!!!! Ccm ni janga kwa Nchi.
🚨🔴⚫️ AC Milan are considering to call 2008 born Italian talent Francesco Camarda as part of the first squad for the upcoming game vs Fiorentina.
Camarda, 15 years old — already scored 3 goals vs PSG and Newcastle in Youth League.
New deal will also be offered soon.
What an incredible day! A huge thanks to all MU staff and my teammates!! I'll never forget this day! To United fans, all my affection for this reception! Let's go for more! That´s just the beginning! 🔴⚽️ @ManUtd#Reds#United#MUFC#RedDevils