Ufikapo kazini kuwa humble tu, usiiingilie njia za watu na usivuke mipaka yako! Ukweli ni kwamba watu wamepoteza vingi kufika hapo, wengine wamefanya mengi kufika hapo na wengine wanatumia nguvu nyingi kubaki hapo, sisi tukachague kuishi na kufanya yanayotuhusu.