If you think #SamiaMustGo is just some random hashtag - think again!
We are talking about a murderous dictator who at her own people’s account have confessed to killing over 500 people in few days to take power illegally, they recorded thousands of #EnforcedDisappearances and she has imprisoned her rival Tundu Lissu on trumped up charges! Her family and cronies are embroiled in huge corruption cases
#Tanzania is not safe for travel or investment
This will only get worse under this illegitimate president!
Ergo #SamiaMustGo is mandatory in order to move away from the brink of disaster!
Kuna habari nimeipata ila kwa vile sina evidence ya 100% basi sitotaja majina directly ila issue iko hivi, JK has come up with a plan ya kuitawanya Chadema kama alivyofanya kwenye Urais wake kwa kuanzisha ACT Wazalendo na kimama kaanza kuitekeleza plan hii.
Abdul na mama yake kwa sasa wanafanya big financial investment kwa viongozi wa Chadema kupitia business mpya.
Nimeambiwa Kuna Bank inaitwa Bank M itatangaza kufilisika kisha watainunua wao kina Abdul kama taasisi ya pesa yenye leseni, watainunua kwa bei ndogo sana na kuiendesha kama Bank binafsi- yenye udhamini wa BoT.
Wanajipanga kufungua bank ya kifisadi ambayo itatumika kupitisha pesa zao za wizi endapo USA wanaweka sanctions kwenye mfumo wa fedha, inorder to by pass possible coming sanctions. Wanatengeneza hiyo shadow banking network and some viongozi wa Chadema wamepewa shares kwenye huu uharamia ili kusaliti wananchi……
Bank M iko chini ya mfilisi ila soon Bank M itakuwa activated with “foreign owners” na itakuwa foreign bank yenye wateja TZ. Hao “foreign owners” ndio mpaka some viongozi ndani ya Chadema wako. Kuna kiongozi mmoja ndani ya Chadema huyu mpaka katoa maelekezo kuwa hii bank iwe na HQ nchi flani.
Nimeambiwa Mbowe keshaanza kujenga majengo Dodoma ambayo atawakodishia hii bank.
Yani its a network made up of some viongozi wa Chadema wakishirikiana na wauwaji wa October 29. Yani CCM wamekubali kula na viongozi ndani ya Chadema ili mradi haki isipatikane Tanzania.
Naomba kila mtu asave hii posti coz kuna siku nitarudi ku refer to this post. Please save this post.
Tanganyika AMKA 🔥👊🏽
Vijana usiku huu wako bize wanasambaza vipeperushi kuamsha watanganyiks tupambane!
Kila mtu apambane anavyoweza! Hakuna kuwapa muda wa kupumua hawa wauaji mafedhuli!
Hadi tupate Haki 💪🏽🔥
#TutaelewanaTu#JusticeForMO29
Pin this📌
‼️MFUMO MPYA WA KIMAGUMASHI WA KULIPIA FORODHA T-CAMS NA FAMILIA YA RAIS‼️
Kama nilivyowaeleza kuna kashfa kubwa na iko kwenye mfumo mpya wa ulipaji forodha ulioletwa ghafla bin vup na genge la watawala. Mfumo huu mpya unaoitwa T-CAMS inaendeshwa na kampuni inayoitwa Capital Pay ambayo mmiliki wake mkuu ni Garang Malek kutoka South Sudan. Kampuni hii ina kampuni shiriki inayoitwa Crawford Capital inayoendeshwa na mtoto wa Salva Kiir iliyopigwa sanction na Marekani kwa sababu ya UFISADI. Hii nitaiongelea siku nyingine tuje sasa kwa huku Tanzania
Capital Pay Ltd imeingia makubaliano na TAFFA au TASAC.
Tanzania ni Tanzania Freight Forwarders Association yaani Chama cha Wasafirishaji Mizigo Tanzania
TASAC ni Tanzania Shippings Agency Corporation au Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
Waliosaini mikataba ni mabosi wa haya mashirika ila wadau hawajashirikishwa kabla kikamilifu maana waligusiwa kwenye mkutano mkuu Oktoba 2025 ila wakaambiwa muda umeisha watapewa maelezo baadaye ndo ikaishia hapo. Sasa wamekuta tu March 16 hawa wamesaini mkataba na TAFFA na TASAC na TRA wameshuhudia haya. Huu mfumo mpya unataka malipo YOTE ya forodha ya uagizaji kutoka nje upitie hapo na hawa Capital Pay wanachukua 25% ya ada wanayolipwa mawakala wa usafirishaji. Mpo? Kumbukeni huu mfumo si wa MUUNGANO bali ni wa TANGANYIKA tu!
Sasa baada ya mawakala kuona haya madudu kupitia TAFFA wakaamka na kuanza kupinga huu utaratibu na kutaka maelezo zaidi.
•Uhalali na ubora kwa kutumia mfumo kutoka kwa taasisi ya kigeni iliyoanzishwa hivi karibuni, hasa ile inayotoka katika eneo lisilo na miundombinu imara ya bandari inayoweza kulinganishwa na ile ya Tanzania yaani South Sudan
•Athari za kiusalama zinazotokana na kuipa kampuni ya kigeni fursa ya kufikia taarifa nyeti za kitaifa za kibiashara, ikiwemo taarifa za uingizaji na usafirishaji wa bidhaa. Hali hii inazua maswali muhimu kuhusu ulinzi wa taarifa, usalama wa taifa, na uhuru wa nchi.
Wakapuuzwa! Wameendelea kufuatilia na ndipo ndugu yetu Mapete (Waziri Salum) akaibuka! Akaanza kuwatishia wadau na wengine wametekwa hivi karibuni kwani mfumo huu wa T-CAMS ilitakiwa kuanza kutumika Agosti 01. Waliotekwa wamepelekwa Central Police na wanahojiwa na kuteswa chini ya usimamizi wa askari mzanzibari Mzee Ibrah! Wanaambiwa wadau kuwa huu mradi ni wa familia ya Rais haramu Samia Suluhu na familia ya watawala wa South Sudan. Pia Mombo anatajwa kama mdau. Ila anayeonekana front ni huyu Mapete – bize!
Baada ya mambo kuzidi kuwa tete wazalendo wameamua wapeleke demand notice kwa wahusika wote wakiwemo TRA na kutaka wasitishe huu mfumo la sivyo watafunguliwa kesi na hoja ya kisheria ni kwamba kwa mujibu wa East African Community Customs Management Act, 2004, usajili, utambuzi na usimamizi wa Customs Clearing and Forwarding Agents uko chini ya Kamishna wa Forodha wa TRA. Sheria hii haitoi mamlaka kwa TAFFA au TASAC kusimamia leseni za Customs Clearing Agents isipokuwa pale sheria nyingine itakapotoa mamlaka hayo kwa uwazi. Katiba inalinda misingi ya utawala wa sheria, usawa mbele ya sheria na haki ya kufanya biashara kwa mujibu wa sheria. Kwa hiyo: taasisi yoyote inayoweka masharti au tozo bila mamlaka ya kisheria inaweza kuwa inakiuka misingi hiyo; haki na wajibu wa wananchi na wafanyabiashara lazima viwekwe kwa mujibu wa sheria, si kwa makubaliano ya kiutawala pekee. wapo kuna tozo mpya, ada ya lazima au mfumo unaowalazimisha Customs Clearing and Forwarding Agents kulipa kupitia TAFFA au TASAC, ni lazima ionyeshwe wazi kifungu cha sheria kinachoruhusu tozo hiyo.
Watanganyika AMKENI! Huu upuuzi hadi lini?
Kuna mengine mengi ila kwa sasa nimeanza na haya mengine tutafuatilia kimataifa!
ACHENI UPUUZI watanganyika kwenye mfumo!
#TutaelewanaTu
DPP kapigwa PAIPU ya sheria huko kaacha NDALA.
Dunia nzima inajua LISSU sio muhaini. Tunajua mnajua nguvu yake akiwa huru ndio inawaumiza VICHWA.
Aliepewa kapewa, Lissu kapewa kupendwa na WATANZANIA hata mfanyaje hilo halijikubadilika.
MUACHIENI MZEE WETU.
REPOST 200
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kilikaa Julai 29. Siku hiyo hiyo Jeshi la Polisi linatoa taarifa 'KURUHUSU' mikutano! Julai 30, mahakama ya Rufani inatoa 'ushindi' kwa Lissu dhidi ya DPP, huku mama Kizimkazi akikutana na wanasiasa Ikulu. Julai 31, kesi ya uhaini ya Lissu inapangiwa tarehe.
Bado unataka ushahidi gani kuona kuwa DPP, Jeshi & mahakama wote wanapokea maelekezo & kuwa kesi ya TAL ni ya KISIASA! Bado unataka ushahidi wa chama KUSHIKA HATAMU!
WATUMISHI WA SERIKALI, SEKTA BINAFSI NA UMMA.
Nafahamu tupo mwisho wa mwezi, kipindi ambacho wengi hupokea mishahara na mapato yao. Tunaomba kwa unyenyekevu muwe sehemu ya mabadiliko ya Taifa letu.
Mchango wako wa Tone Tone kwa CHADEMA ni muhimu sana. Hakuna mchango mdogo unapolenga kujenga mustakabali bora wa nchi yetu. Tumia njia yoyote iliyo salama na rahisi kutuma mchango wako. Pamoja, tunaweza kufanya makubwa.
Mungu awabariki sana.
#TANZANIA: WATANZANIA WAWAUNGE MKONO JUMUIYA YA MADOLA ILI KULIEPUSHA TAIFA LETU NA UTAWALA USIOZINGATIA HAKI ZA BINADAMU - DKT. LWAITAMA
Dkt. Azaveli Lwaitama, mshauri wa masuala ya siasa leo Julai 16, 2026 akizungumza na Wanahabari amewataka Wanzania wote wenye kupenda haki na Demokrasia kuiunga mkono Jumuiya ya Madola iliyotoa tamko la kuitaka serikali kufuata misingi ya demokrasia katika utawala wake na kwa kuanza waanze na kumuachia huru Tundu Lissu na kuhakikisha serikali inafuata utawala wa sheria.
Aidha, Dkt. Lwaitama amesema Jumuiya ya Madola ina lengo la kuliepusha taifa juu ya utawala usiofuata haki za binadamu.
Zaidi: https://t.co/lHqBMW22UG
CHALLENGE YA SATIVA IMEPATA MWITIKIO MKUBWA! ✌️
Challenge ya Sativa ya kuahidi kuchangia TSh. Milioni 2 kwa ajili ya Baraza Kuu la Umma endapo michango itafikia TSh. Milioni 100, imepokelewa kwa shangwe na mwitikio mkubwa kutoka kwa Watanzania.
Kinachovutia zaidi ni kwamba, ndani ya saa 18 tu tangu atangaze challenge hiyo jana usiku, Watanzania wamechangia TSh. Milioni 10, na kufanya jumla ya michango kufikia TSh. Milioni 60.
CHANGIA SASA
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Hii nyumba tungemsaidia @HecheJohn kumalizia - wenye uwezo wamnunulie simenti, vigae, tiles nk tumalize
Tusimpe directly pesa wasije wakasema kaiba 🙄 tumpeleke vifaa vya ujenzi ili watokwe na povu zaidi!
Sijui mnaonaje hili wazo?
‼️ALERT‼️🚨
Hatimaye pesa za project ya kumshambulia Makam Mwenyekiti Mhe. John Heche zimemfikia Joseph Selasini.
Iko hivi jana Joseph Selasini alienda Masaki, nyumbani kwa Mbunge haram wa CCM Ojambi Didas Masaburi kwa lengo moja tu la kurekodi video ya kumshambulia Mhe. Heche, video hizo wamepanga kuziachia siku ya kesho yani July 14, 2026.
Kwenye izo video Selasini kamshambulia sana Mhe. Heche kwa propaganda zile zile za pesa za #ToneTone baada ya kumaliza kurekodiwa akapewa kibunda chake, wakapiga na moja moto, moja baridi kisha akaenda zake.
Kwahiyo kesho mkiona msishangae.
Hakikisha unaagalia hii documentary ya kiuchunguzi ya Tundu Lissu ikionyesha alivyoumizwa na familia yake kuteseka!
Kimama kikatili hakina kesi kimekaza fuvu tu!
#FreeTunduLissu
CHADEMA iko imara zaidi sasa! Msiyumbishwe. Adui yetu mkuu anajulikana. Ni dola dhalimu na katili ya CCM inayofanya kila njia kutudhoofisha. Kuwa kiongozi au mwanachama wa CHADEMA ni msimamo wa kijasiri na utayari wa kupambana kulinda ustawi wa chama chetu. Kusimama imara ndiyo silaha yetu. #PeoplesPower
Kuelekea Baraza kuu la kihistoria..
Nimesikia sauti yenu, Asanteni sana Watanzania kwa upendo mkubwa.
Ushindi wetu uko karibu sana..
Msiogope, tutashinda.
Watanzania walitaka namba ya MAKAMU HECHE ili wamtumie PESA kama kumuunga mkono kipindi hiki kigumu.
MAKAMU HECHE kaamua kuomba watanzania wachangie CHAMA-Chama kina jukumu zito ndani ya huu mwezi mmoja kuitisha BARAZA KUU LA CHAMA.
Baraza kuu la CHAMA linakuja kufanya maamuzi MAZITO juu ya haya mambo mawili.
1. KATIBA MPYA.
2. FREE TUNDU LISSU.
Jumla MILIONI 330 inatakiwa-Kufanikisha hili BARAZA KUU. Weka mchango wako kwenye account rasmi za CHAMA.
Voda (MPESA): 0744446969
JINA: CHADEMA HQ.
Repost 500