1. AJIRA au KUHAMISHWA ENEO LA KAZI
2. NGUVU ZA KIUME au KUONGEZA MAUMBILE.
3. MATATIZO YA UZAZI mfano kupata mtoto.
4. MVUTO WA BIASHA AU MAPENZI.....msipokua makini kwenye hayo maeneo mtaendelea kupigwa pesa kila inapoitwa leo,...👇👇
MWENYEKITI MPYA WA KAMATI YA OLIMPIKI TANZANIA (TOC)
SOMO KUTOKA IOC: UHALALI WA UCHAGUZI HAUPASWI KUVURUGWA
Sehemu ya 1 kati ya 3
Pongezi za dhati kwa Mhe. Anthony Mtaka kwa kutambuliwa rasmi na Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) kuwa Rais halali wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). Pongezi pia zimwendee Makamu wa Rais na wajumbe wote wa Kamati ya Utendaji kwa kusimama imara kutetea uamuzi wa Mkutano Mkuu. Tukio hili limetufundisha somo muhimu: demokrasia haiishii kwenye kupiga kura; hukamilika kwa kuheshimu matokeo ya kura.
Na kwa wale wote waliohusika katika mchakato huu, ushauri wangu ni mmoja tu: tuheshimu uamuzi wa IOC bila mabishano. Uamuzi huo haukutolewa kwa bahati mbaya. Ulifanywa baada ya mwangalizi huru wa IOC na ANOCA kushuhudia uchaguzi, na baada ya IOC kupokea taarifa kutoka vyanzo mbalimbali. Tukio hili ni onyo kwamba tabia ya kuamini matokeo yanaweza "kurekebishwa" baada ya kura kupigwa inaweza kuiweka Tanzania katika hatari ya kupoteza heshima yake mbele ya jumuiya ya kimataifa.
Hatari hiyo si ya viongozi pekee. Waathirika wakubwa wangekuwa vijana wetu wanaojitahidi usiku na mchana kuipeperusha bendera ya Tanzania katika Michezo ya Olimpiki ya Los Angeles 2028 na mashindano mengine ya kimataifa.
IOC si taasisi inayoyumba katika masuala ya utawala bora. Katika historia yake imewahi kusimamisha Kamati za Olimpiki za Mataifa mbalimbali pale ambapo uhuru wa Kamati hizo ulipoingiliwa au taratibu za uchaguzi kuvurugwa. India ilisimamishwa baada ya sheria za serikali kukinzana na Hati ya Olimpiki. Kuwait ilisimamishwa kutokana na kuingiliwa kwa uhuru wa utawala wa michezo. Guatemala ilisimamishwa kufuatia kuingiliwa na serikali na mahakama. Hivi karibuni Iraq ilisimamishwa baada ya serikali kuivunja Kamati halali ya Olimpiki na kuunda nyingine chini ya Waziri wa Michezo.
Methali ya Kiswahili inasema: "Ukiona mwenzako ananyolewa, zako tia maji." Tusifike huko.
Kusimamishwa kwa Kamati ya Olimpiki ya Taifa si adhabu kwa viongozi pekee; ni pigo kwa taifa zima.
Madhara yake ni makubwa:
Wanamichezo wanaweza kushindwa kushiriki Olimpiki chini ya bendera ya Tanzania au wakaruhusiwa kushiriki kama wanamichezo wasio na taifa (neutral athletes).
Fedha za Olympic Solidarity zinazofadhili mafunzo ya wanamichezo, makocha, vifaa, tiba ya michezo na ufadhili wa masomo husimamishwa.
Vijana hupoteza fursa za mafunzo na mashindano ya kimataifa.
Programu za kukuza vipaji hudhoofika.
Wadhamini wa sekta binafsi hupunguza uwekezaji kutokana na kupungua kwa hadhi ya nchi.
Taswira ya Tanzania katika jumuiya ya kimataifa hudhoofika.
Kwa kifupi, viongozi wanaweza kubadilishwa; lakini ndoto za wanamichezo zikivunjika huchukua miaka mingi kujengwa upya.
Leo hii kuna mwanariadha anayefanya mazoezi kila alfajiri akitumaini kufuzu Los Angeles 2028. Kuna mwogeleaji anayesaka ufadhili kupitia Olympic Solidarity. Kuna bondia anayehitaji mashindano ya kimataifa kujenga kiwango chake. Kuna mwanafunzi wa sekondari anayeota siku moja kuivaa jezi ya Timu ya Olimpiki ya Tanzania.
Ndoto zao hazipaswi kuvurugwa na makosa ya kiutawala ambayo hayawahusu.
Katika barua yake ya tarehe 9 Julai 2026, IOC ilitambua rasmi viongozi waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wa TOC. Wakati huohuo ilieleza wasiwasi wake kuhusu kile ilichokiita jaribio la dakika za mwisho la kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Rais kwa kutangaza mgombea ambaye hakuchaguliwa. IOC ilieleza kuwa kitendo hicho kilikiuka Hati ya Olimpiki, Katiba ya TOC na misingi ya maadili ya Harakati za Olimpiki, na ikaagiza uchunguzi pamoja na hatua stahiki dhidi ya waliohusika.
�
TAN - NOC Elective General Assembly held on 5 July 2026 - IOC-ANOCA letter to NOC - 9 July 2026.pdf
Itaendelea...
@Ninja_Damour Kuna pahala nilishuhudia msibani walipika vikaiva muda wa kupakua wakasusa, simple sana vile unavyo tenda kwenye misiba ya wenzako hivyohivyo utatendewa kwa msiba wako.
“Much love, my friend—I miss you deeply. You are still one of the finest brains this country has. I’m keeping you in my prayers—may God give you the courage, strength, and resilience to rise above every challenge before you.”
Kwa nini tusiache hashtag ya #FreeNinja?
1.Inalinda usalama wa mhanga kwa kuweka macho ya dunia kwake.
2.Inazuia tukio kusahaulika au kuzimwa.
3.Inatuma ujumbe kuwa umma unajua na unafuatilia. Paza sauti, usinyamaze
#FREENINJA
Nimeona video imesambaa mtandaoni, maiti ya mwanaume imeokotwa ikiwa imekatwa kichwa, inaelea katika bonde la mto Msimbazi eneo la Tabata. Baadae nakutana na chapisho la msanii, Mh. Temba anasema ni mjomba wake anaitwa James Temba. Nchi yangu imeharibika sana. Tumefikaje hapa?
WHERE IS NINJA, FREE HIM NOW!!
Huyu jamaa sio rafiki yangu, infact ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wananikejeli na kunitusi (sababu ya ushabiki wa Wasanii wengine wa Hip Hop). Ila kama kweli mimi ni mpenda na mtetea haki, nitakuwa mnafiki nisipotumia nafasi na sauti yangu kupaza sauti juu ya kitendo cha yeye kutekwa!!
SERIKALI HARAMU inawaza tu kuhusu wao kubaki madarakani, na sio majeraha inayowaachia Wazazi na Familia kiujumla kwa kuendelea kuteka na kukamata watu kiholela kinyume na sheria. Nakemea kitendo hicho na naungana na wenzangu kusema FREE DAMOUR NOW !!
Kama @Ninja_Damour hajapatikana kwenye vituo vyote vya polisi, basi RPC ajiuzulu kazi leo leo maana ameshindwa kulinda Wananchi hadi uhalifu kufikia kiasi hicho. #WeWantJustice #FreeNinja #MwalimuMkuuMAMAyenu