Top Tweets for #MrUnknownCode
'We cant grow if things are easy' ...
#MrUnknownCode
#DjSelection
"Sina Nyota - Mbosso Khan"
- Bado ndondo Churuuru, ukijaza haijai Kibabababa na Misongosongo msuruuruu 6 haikai 7.
#MrUnknownCode
Duah ya kila Siku .
"Mungu Baba Nipe Mimi Wape Na Wao." ~ Johnbest Mwahaja.
#MrUnknownCode
12.07.2025 |
#MrUnknownCode

Nguvu ya kweli inatoka moyoni amini, weza, timiza. Usisubiri hali iwe sawa, anza sasa safari huanza kwa hatua moja.
#MrUnknownCode
"Kuna wakati unaogopa mabadiliko, ila kukubaliana na mabadiliko wakati mwingine kunakusaidia kukua." ~ Johnie
#MrUnknownCode
Learn to react less.
"When you control your reaction no body can manipulate you."
#MrUnknownCode
."Unapoona aibu kwa niaba ya mtu mwingine, ni kwa sababu unajua wangeweza kufanya vyema lakini walichagua kutofanya hivyo." ~ Mathew Kumbulu
#MrUnknownCode

There's nothing like the satisfaction of completing a task with dedication and passion knowing you gave your best and the results speak for themselves. ~ Mwaisa
#MrUnknownCode

"Hata katikati ya mapambano, kumbuka kuwa Mungu hajawahi kukuacha. Anatoa nguvu mpya kwa kila siku mpya." ~ Mama Johnie
- endelea kuamini.
#MrUnknownCode
"Watu wa kweli na wenye imani huinua wenzao juu, na sio kuwashusha chini." ~ Mtoto wa Mama Msacky (Chuma)
#BakiMkweli
#MrUnknownCode
"Wikiendi ni zawadi ya maisha! Chagua kupumzika, kufanya unachopenda, na kujijaza nishati mpya kwa ajili ya safari mpya." ~ Baraka Maviatu
- Furahia kila dakika hasa ukiwa na Kibunda.
#MrUnknownCode
"Unapoendelea kuomba na kupambana, kumbuka kuwa Mungu hujibu maombi kwa wakati ambao ni sahihi." ~ Mzee Waziri
- Jifunze kuwa na subrah.
#MrUnknownCode
"Mungu ndiye kimbilio lako, na kazi zako za bidii ndizo daraja la kesho yenye matumaini." ~ Mama Johnie
- Tusiache Kuomba na Kushukuru.
#MrUnknownCode
"Kesho yako inaahidi kuwa ya nuru ikiwa leo utaweka imani yako kwa Mungu na juhudi zako kwa bidii." ~ Mwaisa π‘
#MrUnknownCode
"Maisha ni safari yenye changamoto, lakini kwa kumtegemea Mungu na kujituma, kesho yetu inaweza kuwa bora zaidi." ~ Mwaisa π‘
- Hakikisha unaendelea ulipoishia na kumuomba Mungu.
#MrUnknownCode
"Uwezo wa kufanikisha wengine ni baraka; baraka hiyo huongeza maana ya maisha yako na kuacha alama isiyofutika katika safari za wengine." ~ Mwaisa π‘
- Kila mchango wako wa dhati unaumba kizazi kinachoamini katika kushirikiana, na kuleta mabadiliko chanya.
#MrUnknownCode
Last Seen Hashtags on Sotwe
Hijabi
Seen from Turkey
nolimit #nolimit #momson
Seen from Pakistan
ΰΈΰΈΈΰΈΰΈ₯ΰΈ£ΰΈ±ΰΈΰΈΰΈ²ΰΈ
Seen from Thailand
ΰΈ’ΰΈ°ΰΈ₯ΰΈ²ΰΈ£ΰΈ±ΰΈΰΈΰΈ²ΰΈ
Seen from Thailand
flashtruckers
Seen from Turkey
callmesloo
Seen from Indonesia
headswap
Seen from Mexico
dandysworldnsfw yatta
Seen from Mexico
shemales
Seen from Germany
γ«γ¬γ«γγγΌγ
Seen from United States
Most Popular Users

Elon Musk 
@elonmusk
240.5M followers

Barack Obama 
@barackobama
119.3M followers

Donald J. Trump 
@realdonaldtrump
111.7M followers

Cristiano Ronaldo 
@cristiano
110.3M followers

Narendra Modi 
@narendramodi
107M followers

Rihanna 
@rihanna
97.6M followers

NASA 
@nasa
92.1M followers

Justin Bieber 
@justinbieber
90.8M followers

KATY PERRY 
@katyperry
87.5M followers

Taylor Swift 
@taylorswift13
81.3M followers

Lady Gaga 
@ladygaga
72.9M followers

Kim Kardashian 
@kimkardashian
69.7M followers

Virat Kohli 
@imvkohli
69.6M followers

YouTube 
@youtube
68.7M followers

Bill Gates 
@billgates
63.8M followers

The Ellen Show
@theellenshow
62.5M followers

Neymar Jr 
@neymarjr
62.4M followers

CNN 
@cnn
61.9M followers

X 
@x
60.8M followers

Selena Gomez 
@selenagomez
60.6M followers
