@Sativa255@SuluhuSamia Kwa pale border ya Kenya hawakumuona mtu kaumia ila kafika karibu na Mombasa ndio akawapigia wenzake toka Nairobi kufika ndio wakaandika script. Jifanye huwezi kutembea. Atueleze kutoka Kenya boarder alipata msaada gani na usafiri gani.
@_zack255@Kenyans Wakikuyu bado hawajakubali kuwa Ruto kawapokonya nchi. Huyu akitoka Tz hatataka hata kutusikia. Ngoja apewe adabu na uhakika hata Ruto kasema mshughulikieni kama sioni.