Continuing with our Computer Misuse (Ammendment) Act 2022 enlightenment campaign in partnership with @KuchuTimes.
Here are some recommendations for the netizens.
#DYK#ComputerMisUseAct#HEROnlineSafety
Privatization of Twitter will have new ways of working may hinder full participation of many African feminists and minority organizers who are already using Twitter as a social hall for different campaigns and advocacy on different issues. #DigitaRightstz#BeOnline#KeepItOnTZ
📢Good morning Digital Dada Podcast fans!
We hope you had a great and restful weekend!
This week we have a great guest lined up for you but before that, here is a snippet from last week's episode!
#Cyberbullying#contentcreators
AI opportunities:
"Eliminating #AI bottlenecks in education and acquisition of skills allows women to participate in all sectors, thus transforming families and communities"
Explore details in our #EncodedBiases report👉https://t.co/aeFqJ9IUC2
We're excited to share more about our #SpeakFreelyTypeFreely campaign during a Twitter Space tomorrow starting at 5:30pm EAT.
Set a reminder to join us here: https://t.co/FwUrfZkW0k
Even though the alteration of records and the concealment of data can be used for privacy purposes, it suffocates the right to freedoms of expression and access to information especially when public opinion is of the essence.
#SpeakFreelyTypeFreely
If I can say it in a bar, I can say it on my timeline. Why should the different rules apply to how I express myself online and offline?
#SpeakFreelyTypeFreely
Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike inazingatia hitaji la kushughulikia changamoto tunazokabiliana nazo wasichana na kukuza uwezeshaji wa wasichana na kutimiza haki zao kama binadamu. #ElimikaWikiendi
Mimba za utotoni , Ndoa za utotoni , ukeketaji yaani binti ni anakumbana na changamoto nyingi sana. Sisi kama jamii yafaa tumkinge na kumlinda Binti dhihi ya makwazo tuliyoyaeka ili afikie malengo #ElimikaWikiendi
Binti anapozaliwa anaanza kukumbana na changamoto kwa kua tu amezaliwa msichana. Watoto wa kwanza wa kike wamegeuzwa wazazi na walezi wa Familia. Ni vizuri binti kusaidia kazi nyumbani ila sio kuachiwa kila kitu #ElimikaWikiendi
Tulisheherekea na kufurahia hukumu ya mahakama iliyosema umri wa binti wa kuolewa ubadilike na kua 18. Ila furaha zetu zimezimwa na bunge , tunaamini kwamba wafanya kama mahakama ilivyoamuru kwani mtoto wa miaka 15 anafaa kua shule #ElimikaWikiendi
Je wajua watoto wa kike milion 15 duniani, wenye umri wa kuanzia miaka 15 hadi 19 wameathirika kisaikolojia kutokana na manyanyaso ya ukatili wa kijinsia, ikiwamo kubakwa, vipigo na udhalilishaji wa kingono. #ElimikaWikiendi
Watoto wa kike wanakabiliwa na changamoto nyingi. Kiini cha changamoto hizi ni kukosekana kwa usawa wa kijinsia katika jamii nyingi hasa za kiafrika kati ya watoto wa kike na wa kiume kuanzia ngazi ya familia. #ElimikaWikiendi
Kwa mfano ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia watoto @unicef@UNICEFTanzania naeleza kuwa watoto wa kike milioni 12 huolewa kabla ya kufikisha umri wa miaka 18 kila mwaka , Nawakumbusha Binti si Bibi Harusi #ElimikaWikiendi