@EsirEid Hata magufuri wengi walimpenda baada ya kufa ..Kuna uwezekano ikawa kweli alikua anachukiwa na watu wengine pia hata 35% ya Raia wa nchini kwake
@Kil0voltI@Cowwbama@Sativa255 Wapo wengi nawajua wanaiyo hela na wanatambo za kifala anza na baba levo ,mwijaku , msigwa na wengine kibao tu hata na sugu
@LifeofSteph_1 Sasa kama team ni kubwa anaogopa nini ao anaocheza nao kwa uefa si ni wadogo sana kumliko awafunge tu tenah akivuka apo apewe PSG au bayern
@killo_killo11 Neymar sio vin vini shida sio ushangiliaji Kwan unazani vin ndo mchezaji wa kwanza kucheza kwenye kibendera baaya kufunga goal ???? Grezman , tevez , Neymar tangu Barca , na wengine wapo hila vini ana kiburi ana dharau na anamadeko saana