Kusurvive hizi streets lazima ukuwe smart. Mimi nikienda mahali na nijue nitachelewa, huwa natembea na simu mbili,moja ile ya hao yenye imespoil. Nikifika mahali risky, nasunda main kwa bolingo, alafu natembea na hii imechapa. Wepesi wakikuja kusnatch, unajua hawanaga time ya kusorora wanapita nayo kama wametoroka, alafu mimi nakimbia nikipiga mayowe hadi kwa nyumba.
These are reasons why am unique👇
Enjoy solitude
Very curious
Never talked with a 🎤
Single ata mumaa Sina
I hate poverty
Addicted to x
I usually monologue
I forget simple things and recall difficult ones...
X broke bastard ndo natoka kejani tangu Jana. Napita streets kidogo mama mboga wote wananijua wananisalimia, ata sina number ya msee mmoja was butchery, naingia ma3 Kila mtu anafunga jacket na anakaza simu.Swali bado ni njamo...