Eeiish you are becoming too noisy now you should shut up na uwachane na Cleophas Malala, he's the secretary general and if you don't want to be called out by the party leadership resign, form your own party na urudi ground alah!! All the time Kikuyu, Kikuyu, Kikuyu! There are so many other tribes in this country. Umetuchosha
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Jamhuri ya Kenya, Jenerali Francis Omondi Ogolla na wanajeshi wengine tisa katika ajali ya helikopta iliyotokea leo katika Kaunti ya Elgeyo-Marakwet.
Natuma salamu za pole kwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Kenya, Mheshimiwa @WilliamsRuto, wananchi wote wa Kenya, familia, ndugu, jamaa na marafiki wa wote waliopoteza jamaa zao katika katika ajali hiyo. Poleni sana.
Mwenyezi Mungu azilaze roho za ndugu zetu hawa mahali pema peponi. Amina.
Should the Kenya Police officers who brutalized opposition protestors during Maandamano be the first on the list to Haiti? VOTE WISELY.
A. YES (Taste their own medicine)
B. NO (See for them Huruma)
Crown Bus
The Government of @WilliamsRuto and @rigathi has LIFTED the Red Alerts despot Uhuru Kenyatta and his GOONS ILLEGALLY imposed against me with the CONNIVANCE of conman @RailaOdinga. My Arrival: October 20 at 6 AM. The Rule of Law, fearlessness, persistence and focus have prevailed.