๐จJUST IN; Moshi mweupe umeanza kuonekana juu ya ujenzi wa uwanja wa kisasa wa wananchi unaoendelea,
Wahandisi wanaenda na kasi inayohitajika kufanya kila linalowezekana uwanja kukamilika ndani ya siku 600 na tayali wameshaapata position sahihi
Wananchi ni next levelโ๏ธ
Ninakipongeza Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar kwa kufanya mazungumzo na kufikia maridhiano. Hii ni hatua muhimu inayozidi kuimarisha amani, umoja, utulivu na mshikamano miongoni mwa Watanzania. Maridhiano si ishara ya udhaifu bali ni alama ya ukomavu wa kisiasa unaoweka mbele maslahi ya Taifa badala ya maslahi ya vyama au ya mtu binafsi.
Wananchi hawahitaji vurugu wala mivutano ya kisiasa isiyoisha. Wanahitaji amani, usalama, huduma bora za kijamii, ukuaji wa fursa za kiuchumi na ajira. Ili kufanikisha hayo, serikali itaendelea kusimama imara katika kulinda usalama wa raia na mali zao, pamoja na kudumisha heshima na hadhi ya nchi yetu.
Kwa pamoja, tutafakari umuhimu wa maridhiano kama yanavyohimizwa pia katika vitabu vitakatifu:
Qur'ani Tukufu Sura Al-Hujurat 10: "Kwa hakika Waislamu wote ni ndugu; basi patanisheni baina ya ndugu zenu na mcheni Mwenyezi Mungu, (msipuuze jambo la kupatanisha) ili mrehemewe."
Biblia Takatifu โ Mathayo 5:9: "Heri wapatanishi, maana hao wataitwa wana wa Mungu."
๐จThierry Henry on Argentina eliminating Egypt from the FIFA World Cup:
๐ฃ๏ธ โFor me, this feels like football robbery in broad daylight.
Iโm not taking anything away from Argentinaโs quality because they have world-class players, but I donโt think they deserved to win this match. Egypt worked incredibly hard to build a two-goal lead. They defended with courage, attacked with confidence and earned every bit of that advantage.
The turning point, in my opinion, was the refereeing. I didnโt agree with the penalty that was awarded to Argentina earlier in the game, and after that it felt as though every important decision was going against Egypt. Whether people agree or disagree, those moments changed the rhythm of the match and gave Argentina the momentum they desperately needed.
Egypt will leave this tournament feeling heartbroken because they were so close to one of the greatest victories in their history. Sometimes football is decided by brilliant moments, and sometimes itโs decided by controversial decisions. Tonight, I believe the officiating will be discussed just as much as the football itself.โ
๐จ Letexier did exactly what FIFA wanted him to do today. The favoritism is blatant. Egypt didn't lose to a better teamโthey lost to the rigged system. ๐ฆ๐ท๐ช๐ฌ
๐จ๐ฃ Jamie Carragher on Egypt's Canceled goal by VAR:
๐ฃ"I am telling you that, if that was against another team it would have been awarded as a goal"
"If that was in the premier league, Laliga or Serie A, it would have been a goal even after VAR review, there is a lot of inconsistency lately in this tournament"
๐จ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Some members of FIFA's Executive Committee are calling for the resignation of President Gianni Infantino and are preparing a lawsuit against him.
This comes after revelations that FIFA allegedly bent the rules to favor a player and a country.
@AlertaNews24
๐จBREAKING: FIFA President Gianni Infantino was involved in the unbalanced grouping of Portugal with the big European countries and Argentina with the weaker majorly African countries.
๐น๐ฟ Tanzania President Samia Suluhu Hassan paid a heartfelt visit to Yanga star Pacรดme Zouzoua, who suffered a terrible injury in the final league game of the season against JKT Tanzania.
She took time to personally console the player and wished him a swift and full recovery, showing strong support for the athlete during a difficult moment.
Not every day you see a sitting President showing this level of care for football in Tanzania. ๐
#AfricanFootball #Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na MWANANCHI NAMBA MOJA Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na leo alimtembelea na kumpa pole mchezaji wa timu ya wananchi Pacome Zouzoua, ambaye anaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam kufuatia majeraha aliyoyapata wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania.
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko