Bwana Mtafungwa unataka nije kuripoti nini kwako?
Yaani nije kukupa ripoti ya jambo ambalo unalijua ili iweje?
Hiyo gari yenye namba fake ambayo inatoka ofisi ya RCO unataka nije kukuambia nini?
Kama jambo liko kwenye public unahitaji mimi kuja au wewe kufuatilia na taarifa zako za kiintelinjesia.
Je ni rahisi kiasi gani kwa hakimu kutoa hukumu kwenye kesi yake mwenyewe?
Bwana Mtafungwa unapaswa kujua kwamba sisi sio wajinga .
Wewe unapaswa kuwambia Watanzania kwanini gari hardtop land cruiser iwe na namba plate za catapillar grader?
Malengo yenu ni yapi kuficha namba za gari? Nani ana wajibu wa kusimamia watu kufuata Sheria? Kwanini magari ya polisi ndio yanaongoza kuwa na namba za ajabu zisizoeleweka?
Fanya wajibu wako kwa kufuata sheria.
Siku si nyingi maovu yote yanayopangwa gizani na sirini yatakua hadharani.
Rivalries aside, you’ve got to be happy for him. These players are human before they’re footballers.
Football isn’t just a job, it’s his passion, his life, and being kept away from the game they love must be one of the hardest things to go through.
So good to see him back❤️
Mnasimama hadharani na kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa kwamba kuna hali ya hatari na usalama ni mdogo. Siku chache baadae mnatangaza kwamba wanaharakati ni magaidi. Mnakwenda kuwakamata watu zaidi ya 60 kwa uongo. Mnawapa mashtaka ya uongo ya ugaidi. Mnasahau kwamba mnatakiwa kuandaa AFCON ifikapo Juni 2027 na mnatakiwa kuendelea kupokea watalii na wakati huo mnatakiwa kuwavutia wawekezaji na mnatakiwa kuwaaminisha mababeru kwamba mnalinda demokrasia ili wafungulie mikopo na misaada. Hayo yatafanyika vipi katika ardhi yenye magaidi wengi kiasi hicho? Hivi nani ni mshauri wenu?
Tommorow you can wake up and your bestie turns to be your enemy, your lover fall in love with someone else but 1 Million will always remain 1 Million.... So make money.