Introduce your boys to Sports.
Watajifunza kitu kinaitwa Resilience.
Kujua kuna kushinda, kupoteza, na ku bounce back.
Hapa ni eneo muhimu la ku manage hisia na matarajio.
Leo IMF na Benki ya Dunia wametoa ripoti mbili muhimu sana. Nilichokiona ni kwamba, taasisi hizi mbili zimefika kwenye hitimisho moja. Dunia imebadilika, lakini Afrika bado haijabadilika kwa kasi inayotakiwa.
IMF inasema:
- Afrika sasa haishindani na Ulaya. Inashindana na Asia.
- Mapinduzi ya AI, semiconductors na data centres yanafanyika nje ya Afrika.
- Bara linakosa productivity revolution. Uchumi unakua, lakini uzalishaji wa kila mfanyakazi bado ni mdogo.
- Bei za chakula na mafuta zinaendelea kuliumiza bara kuliko maeneo mengi duniani.
- Misaada inapungua wakati mahitaji yanaongezeka.
Benki ya Dunia inasema:
- Hakuna nchi ya Afrika iliyopanda daraja la kipato mwaka huu.
- Afrika inazalisha utajiri, lakini Waafrika wengi hawaongezi kipato kwa kasi hiyo.
- Maliasili peke yake hazitoshi. Manufacturing, exports na taasisi imara ndizo zinazopandisha uchumi.
- Nchi nyingi zimekwama kwenye Lower Middle Income Trap.
- Changamoto kubwa ya Afrika siyo umasikini. Ni uzalishaji mdogo.
Kwa kifupi, taasisi hizi mbili zinasema jambo lilelile kwa lugha tofauti.
Karne iliyopita waliokuwa na maliasili walipata tija. Karne hii inawalipa wanaozalisha zaidi kwa kila mfanyakazi, wanaongeza thamani ya bidhaa zao, na wanaojenga taasisi imara.
Hapo ndipo mjadala wa kweli wa maendeleo ya Afrika unapaswa kuanzia.
"Kama mtu angeniuliza ni nini kiongezwe kwenye masomo ya udereva ningesema kiongezwe kipengele cha kukwepa mashimo. Yaani mtu anapojifunza udereva ajifunze pia namna ya kukwepa mashimo. Sasa ukiongea hivi kuna mtu anakasirika ila mimi nasema barabara zetu za Tanzania zimejaa mashimo."
Mimi nazunguka nchi nzima, kuna barabara kama ya Moshi- Arusha, Manyoni mpaka Mwanza, Igawa mpaka Tunduma hizi ni barabara balaa hupaswi hata kutembea usiku. Ninaposhambulia barabara zetu mbovu, hakuna wa kuzitunza halafu watu wapo ofisini wanakula hela bila kuzufanyia kazi. Mpaka barabara inakuwa na shimo katikati ya Mji, hilo shimo limeanzia kwa Mkuu wa Mkoa, Meya na Mbunge, vichwa vyao vina mashimo."Mchungaji Daniel Mgogo akizungumza na chombo kimoja cha habari leo Jumapili Juni 28, 2026.
🚨🎙️ Micah Richards on Portugal and Cristiano Ronaldo:
🗣️ “Deep down, I actually want Roberto Martínez to bench Cristiano Ronaldo for one game.
Not because I think Ronaldo is the problem, but because I want to see what this Portugal team really looks like without him.
Argentina’s match against Jordan showed that they are still a very good team even without Messi. Messi is a bonus, but the system still works.
Their second-string side looked organised, the football was fluid, the movement was excellent, and every player seemed to know exactly where everyone else would be.
That tells you the manager has built a proper team.
With Portugal, I’m not convinced it’s the same. I don’t think this team would look anywhere near as convincing without Cristiano Ronaldo on the pitch.
For me, that says more about the team and the manager than it does about Ronaldo.
I’m still not convinced Roberto Martínez is the right man for this job.” 👀🇵🇹
Mkinunua raba nawapa na location ya hili chimbo la nyama nyingi na pilau 🥘 🍽️
Raba ofaa inaendelea.
Size: 37-40
Price: 30,000/=tzs
Call/whatsapp: 0712098381
#hikasshoes