@FKihamu Itizame timu ya taifa ya Tunisia ya miaka ya 2000 hadi 2010 uje utueleze hao Brazilian born players walifuata utaratibu upi wa FIFA ulio utaja
@ayubu_madenge@freemanmbowetz inabidi urudi tena utuambie ni kwamba @TunduALissu alikuwa anakwenda huko kwa masirahi yake binafsi ama alikuwa anakwenda kwa masirahi ya wananchi walio dhurumiwa haki zao?
@ahmed__ally Tuna hitaji kupata maneno mapya, hayo uliyo yatamka sio maneno mapya mjini labda kwa wageni wa soccer kama wewe @ahmed__ally SIKU UKIRUDI NA MEDAL KUZIDI ALIYO NAYO ALLY KAMWE NDIO YATAKUWA MANENO MAPYA MJINI
@Dr_DGwajima@PetitMourinho Kwa namna ambavyo huwa upo active kupitia na kujibu maswali na hoja kwenye social medias, inakufanya uwe na wepesi wa kutimiza majukumu yako.
Hii inakusaidia wewe kupata taarifa mbalimbali na kwa haraka sana maana kila mmoja ana amini kuwa akilifikisha suala lina fanyiwa kazi
@Dr_DGwajima@kighera50 MH. Waziri @Dr_DGwajima mi nina ombi kwako kama sito kuwa nimekukosea, "naomba ufikishe ushauri wangu kwa waziri mwenye dhamana ya sanaa awatizame kwa karibu hawa content creators.
Siku hizi kumekuwa na vitu vingi vya hovyo sana kwa kivuli cha ubunifu, labda ni elimu tu wanakosa.
@Dr_DGwajima@Jmushi967Mushi@bigotz001 Hawa ndio ambao hawahudhulii vikao/vipindi na wakihudhulia wanakaa nyumaaaaa ndio maana huwa wanatoka pasipo kuelewa
@YerickoNyerereT KUNA DALILI ZA CDM KUZALISHA WASALITI WENGI NDANI YA CHAMA BAADA YA UCHAGUZI HUU WA JANUARY 2025 KULIKO MIAKA YOTE TANGU CHAMA KUANZISHWA.
PIGO NAMBA MOJA LITANZIA PALE IKITOKEA TUNDU LISU AKISHINDA KUWA MWENYEKITI WA CHAMA
@MhereMwita_@AdolfMkono@MariaSTsehai@Liberatus80@lifeofmshaba@Oleshangay Wengi wa mnaojiita wanasiasa mumejawa tamaa tu ndio maana hamuishi kujiweka uchawa kwa viongozi wa ngazi za juu, muda huu wa uchaguzi wa viongozi ndani ya chama uhalisia ndio huonekana hadharani.
Dalili ni mbaya sana hata CDM ikichukua dora tutapitia magumu bora hata sasa
@Advocate_Jebra UKIWA SIKILIZA WENGI WAO KWA SASA ( WANACHAMA, WAFUASI, MASHABIKI ) WA CHADEMA, SIO WALE AMBAO HUWA WANAKUJA HADHARANI NA KUTOA/KUCHANGIA HOJA JUU YA UTAWALA MBOVU WA CCM.
HAWA KWA SASA UTADHANI NI WAGENI NDIO WAMEINGIA NCHINI MWEZI NOVEMBER NA KUKUTANA NA MCHAKATO HUU.