Matata: Mpaka anakushirikisha bila Shaka alikuwa anakuamini
Shahidi: Ndiyo
Matata: Ukiachana na suala la Kumtafutia Vijana, Je alikueleza kuhusu kumtafutia vilipuzi
Shahidi: Hakunieleza
Matata: Kuhusu kumtafutia silaha za kuwashambulia viongozi
Shahidi: Hakunieleza