@Merves_J Ujue wakati mwingi hujisahau Sana swala la mme, Kuna makanisa mengine muda mwingi mke anashinda Kwa mchungaji au kanisani je? hapo mwanaume atapata matunzo kweli
"Hivi leo, watoto wanafaulu ila wanashindwa kwenda shule kwa sababu hakuna madarasa.Rais angeacha kununua hata ndege mbili watoto wangeenda shule. Watu wa CCM wakinilalamikia mwanangu kafaulu lakini hajaenda shule huwa nawaambia kawasomesheni kwenye ndege!" #ListeningTour#Temeke
Hivi huyu Mwamba wanataka kum impeach kweli??? Huku anajifariji hana wasiwasi but in fact knows what gonna happen. Hizi ndio Nchi, ambazo hata ile sheria ya kusema, "All people are equal before the law".
@MariaSTsehai@fatma_karume
CCM imeonekana kuwa na nguvu hapa bara ni sababu ya siasa zilivyo kwa awamu ya tano na watu wengi wameogopa vyama pinzani kwa kutokuwa na imani na wapinzani wenyewe, mfano inauma sana mtu kumchagua baada ya muda fulani eti anahama chama kuunga juhudi pasi kujali waliomchagua
@SeifSharifHamad@zittokabwe Mzee sasa hivi ccm ina nguvu kukiko kipindi chote cha maisha ya ccm tangu vyama vingi vianza. Mwaka 2014-15 ccm ilikuwa hoi hata kuvaa sare alikuwa anaonekana wa ajab leo hii ccm ina nguvu kila kona ya nchi.
Na bado watu wanazidi kupelekwa education wengi kwa mitazamo hiyo hiyo ya kuajiriwa.Maana huwezi sema mnaandaa watu wa kujiajiri lkn mtaala ni uleule kwa kipi mlichokiandaa kama msingi wa vijana kujiajiri au ule mkopo ambao maafisa maendeleo siku hizi wanaunda vikundi kwa mgongo
@KumbushoDawson Kinachouma zaidi wazazi wanatusomesha Kama "asset" kwamba tukiajiriwa tutasaidia wadogo zetu ili wao wapumzike baadhi ya majukumu lakini miaka inazidi kwenda mtoto aliyesababisha wazazi wauze ng'ombe, mashamba anazurura tu