Nawatakia kila la kheri wanafunzi 1,230,780 wa Darasa la Saba mlioanza Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi leo. Mnatoka hatua moja ya elimu na malezi kwenda nyingine katika safari yenu ya kujiandaa kutoa mchango wenu wa maendeleo kwa Taifa letu. Serikali imeandaa mazingira sahihi ili muweze kufikia lengo hili.
Ahadi yangu kwenu katika safari yenu ya elimu na maisha ambayo tayari inatekelezwa ni; nafasi katika shule kwa kila atakayefaulu kuingia Kidato cha Kwanza 2025, miaka minne ya sekondari ya awali bila ada, miaka miwili ya Kidato cha Tano na Sita bila ada, Chuo cha Ufundi katika kila Wilaya kwa mtakaochagua njia hii na mikopo ya Elimu ya Juu kwa mtakaofaulu kwenda Vyuo Vikuu.
Kazi hii inakwenda sambamba na kuendelea kuboresha sera za uchumi wetu ili uweze kuzalisha fursa zaidi kwa kila mmoja wenu kadiri mnavyoendelea kukua na kuingia katika nguvu kazi.
Mwenyezi Mungu awaongoze.
Creation of @ncmctanzania at @SokoineU key element of 🇳🇴🇹🇿 climate partnership. Excited about NCMC’s new mandate to report greenhouse gas emissions beyond forest sector and to track climate action. Valuable input for GOT climate policy.
@noradno@NIBIO_ForHealth@Climateforest
Kamati ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Utekelejazi wa Miradi inayofadhiliwa na #EAMCEF ilifanya mazungumzo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same na kupata maoni yake juu ya miradi inayotekelezwa katika Halmashauri yake. @tanzanianorway@TFSAgency @
Saddened by terrible news on the devastating earthquake in Türkiye, affecting several countries in the region.
My deepest condolences to all who lost loved ones. My heart goes out the injured and all affected.
Norway stands with the people of Türkiye and Syria.
-@AHuitfeldt
How can we ensure Nature-based Solutions are effective against global challenges such as #ClimateChange and biodiversity loss?
The IUCN Global Standard for #NaturebasedSolutions™ is here to guide you.
➡️ https://t.co/bd58w2pBZc
Fruitful conversations with the Minister of State-Investment, Zanzibar Hon. Mudrik Soraga at the sidelines of the energy event on
•investment climate
•respect for rule of law
to boost investor confidence and attract more foreign capital. @UwekezajiZNZ
Delighted to meet with women leaders in Pemba during the solar energy launch event☀️🔋 at Njau islet:
Regional Commissioner Salama Mbarouk Khatib, her colleague from House of Representatives and District Commissioner from Micheweni District.
#equalopportunities#womenleaders
An honour to meet HE President @SuluhuSamia. Tanzania is an important partner in addressing global challenges such as #climate, peace & security, #humanrights. Norway supports the President’s agenda in agriculture, #genderequality and energy 🇳🇴🇹🇿
Tanzania inspires by taking #ClimateAction and implementing key national climate policies under the leadership of Hon. Minister Jafo. We are ready to support your efforts to attain the targets and build climate resilient communities 🇳🇴🤝🇹🇿
Minister @AnneBeathe_ at @vpo_tanzania
Happy to be in Dar-es-Salaam 🇹🇿! Tanzania is an important partner for Norway. Looking forward to meeting key government officials and partners over the next days to further enhance our cooperation on #climateadaptation, #foodsecurity, agriculture, energy and economic development
Urban nature makes our cities more attractive places to live, but it’s much more important than that.
Nature breathes life into our cities. It improves people’s health and wellbeing and helps cities become more resilient to extreme weather events such as heatwaves and floods. 🌱
C40 applauds the city of Stockholm and C40 Vice Chair @SthlmMayor for organising the @StockholmPlus50 Cities High Level Forum - the first-ever city-business event on consumption-based emissions.