Ikaanza kupitiwa orodha ya wauaji waliobobea ndani ya makomandoo
wa jeshi la Marekani.
List ikaenda mbali hadi kutafuta waliondoka jeshini wakiwa na sifa hizi.
Yaani ilikuwa ubaya ubaya!
Hapa ndipo Raymond Allen Davis
akapata kandarasi.
Sometimes 1996,
Rashid Salehe anahamia jijini Dar Es Salaam akitokea kisiwani Pemba.
Rashidi akafungua duka la vipuri vya magari mtaa wa Sikukuu Kariakoo
Duka liliitwa SERA AUTO PARTS
Miaka miwili baadae Rashid akageuka kipusa akisakwa na maafisa wa TRA
Majira ya saa 10 mchana wa tarehe 14 January 2006, dereva aitwaye Mashaka Kamili wa kampuni ya BIDCO alipiga polisi simu ya dharula polisi.
Simu ile inamkuta Askari D 8779 Corporal JOHN akiwa zamu kwenye chumba cha simu (controal room) na simu ile inasikilizwa na Corporal MASEKU
#UPDATES_KESI_YA_MGAWANYO_MALI_ZA_CHADEMA
Part 7
Kesi ya Haruni David vs Kangi Lugola Civil appeal No. 36 inasema headings and marginal notes sio sehemu ya sheria.
Sasa temporary injuction inayoongelewa kwenye sub rule 3 ya O.XXXVII hapa tunachokisema trial judge alikuwa sahihi kuitoa na hakuitoa chini ya sub rule 3.
Jaji sasa ulitupeleka kwenye marginal notes ni kama umetuacha tena hiyo sub rule 3 order zinazoweza kutolewa hapo ni zipi?
Anasimama Wakili Mulabuzi anasema s. 105 ya CPC inaipa mamlaka Mahakama kuu inherent power kutoa order hata nje ya sheria
Jaji kwahiyo unataka na sisi tutumie hiyo Section 105 ya CPC?
Wakili ndio muitumie.
Anaendelea hapa Wakili kuwa hakuna single paragraph inayounganisha value ya subject matter lakini hata kama ziko separate ukiangalia aggregate yake inazidi mamlaka za Mahakama za Chini kwahiyo ilikuwa ni lazima ipelekwe Mahakama Kuu.
Jambo la Mwisho la time limit kuhusu cause of action sisi tulisema ilianzia mwaka 2019 hadi 2024 miaka 6 haijazidi.
Nilitaka kurudia hayo mambo mawili na kwa ujumla upande wa Applicant kulikuwa hakuna serious irregularity kuonesha proceedings zilikuwa na shida.
Kama kuna mapungufu basi tunaamini ni madogo sana na tunaomba mwenendo urudishwe mapema mahakama kuu ili tukaendelee na pande zote zipate haki yake. Tunaishia hapo.
Wazee wanaandika hapa, unasubiri maelekezo yao.
Jaji sasa lile suala la kwamba jambo hili lilipaswa kuanzia kwa Msajili wa Vyama vya siasa mnasemaje?
Wakili ukiangalia ukurasa wa 5 kuna juhudi zilifanyika na hazikuzaa matunda na kwenda kwa msajili ni kama unataka kufuta chama sisi wateja wetu walikuwa hawana nia ya kufuta Chama.
Msajili wa Chama asingekuwa na mamlaka ya kutoa nafuu zilizoombwa hapa.
Lakini pia maombi ya kwamba hii kesi ni constitutional au judicial review huko tusingetaka kwenda.
Jaji unasemaje Mpale Mpoki.
Tuna mambo kadhaaa
1. Angalau wamekubali kuwa kesi yao ilikuwa under CPC na wanajua O.VII inasemaje nini kiwepo kwenye proveedings. Mahakama hii ya rufani imesaidiwa kwamba value hawajaweka, hawajesema cause of action imerise lini?
2. Wame admit pia hakuweka value ya subject matter na kuhusu payment nayo hawajasema na Mawakili wanapaswa kujua sheria, akija mteja unapaswa kumwambia gharama za kufungua kesi sasa wao walijiendea.
3. Wameadmit kuhusu hii sio Constitutional case sasa ukisoma hii kesi kila mahali utaona inaitwa ni Public Interest Litigation.
4. Wanaadmit kuwa hii case haijaletwa chini ya Sheria yoyote na reliefs walizoomba ndio zinaelezea aina ya kesi na relief zao ni kesi ya Kikatiba.
Ukiangalia wanachoomba ni kuwalazimisha watu fulani wafanye jambo fulani na hii kwa uelewa wangu ni order ya Mandamus. Isingeweza kuwa Normal Civil Case.
5. Jambo lingine wanasema wako exempted. Ili plaimtif awe exempted under law of limitation anapaswa kusema tuko nje ya muda lakini tuwe exempted ni kwa mujibu O. VII r. 6 sasa hizo grounds za exemption zimetolewa kwa mujibu wa sheria.
Category za exemption lazima ziwe pleaded na useme kwanini hukufungua kesi ndani ya muda mfano nilikuwa naumwa, nilikuwa nimesafiri. Hawajasema lolote kuhusu hayo sasa.
Naomba nimkaribishe Hekima Mwasipu
Part 8 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba repost yako.
#UPDATES_KESI_YA_MGAWANYO_MALI_ZA_CHADEMA
Part 6
Anaendelea Wakili wa Said Issa na wenzake
Suala la amri ya zuio inamuhusu nani?
Record yenyewe ya Revision inajieleza nani inamuhusu. Page 153 imewaeleza wanaouzuiwa. Wametajwa bodi ya wadhamini na katibu mkuuu.
O.XXXVII ya CPC inasema kuwa order ya bodi ya wadhamini itawahusu wahusika pekeee. Sasa ukiitaja bodi ya wadhamini maana yake ni Chama chote.
Jaji kwani order inaposema na waliopo chini yake Katibu Mkuu ni chini hadi wapi?
Jaji mwingine anasema walisema kuwa servants na wengine wote wanaofanya kwa niaba sasa je kuna yeyote ambae angeweza kufanya shughuli nyingine?
Wakili naomba niendeleee
Jaji kabla hujaendelea sasa tusaidie mahusiano ya madai ya mali na kufanya shughuli za Chama?
Wakili anajibu waheshimiwa madai hapa sio mgawanyo wa mali lakini kweli mgawanyo wa Mali ni madai ila kitu cha msingi ni kifungu cha 6 cha Political Party Act.
Jaji hebu kisome halafu tuambie kinasemaje na maana yake.
Anakisoma hapa.
Anasema sasa matendo ya viongozi wa Chama yaliwakera wananchi wa Zanzibar.
Jaji wananchi wa wapi?
Wakili Mhe. Jaji namaanisha wakazi wa zanzibar.
Jaji una hakika wakazi wa zanzibar hawakufurahia
Wakili ni wanachama tu.
Jaji unajua kanuni za kutoa interim order hilo zuio?
Jaji mwingine na utuambie nani angepata athari zaidi kwa mfano nyie mmgeshindwa hiyo petition yenu kati yenu na respondents nani angeathirika zaidi?
Wakili sasa waheshimiwa majaji naona kama mnazungumzia kesi ya Attilio vs Mbowe
Bila kuzuia wasitumie hizi property basi wote wasingetumia na zingekuwa salama kwa wote.
Pia kufanya political activities lilikuwa ni zuio la muda tu, zingeachwa zingeendelea kutengeneza friction baina ya members.
Jaji sasa tuambie irreperable loss ni ipi?
Wakili tulisema sera za Chama zinaenda kuwa damaged.
Jaji tena anamuuliza Marijan kwahiyo unasemaje kuhusu kilichoombwa kwenye main case ni kama kilishatolewa kwenye ombi la zuio?
Wakili ni kama vinafanana lakini vinatofautiana.
Jaji huoni amri ya kwenye maombi madogo inaweza kuwafanya waleta maombi wakaona wameshamaliza kesi yao wakaanza kuchelewesha kesi ya msingi au wakaona haina msingi?
Wakili washemiwa nafikiri hakuna mwenye nia ya kupoteza muda kwenye shauri la msingi hivi.
Majaji wanatabasamu na kucheka ki kituristi kidogo halafu wanaandika kwa umakini mkubwa.
Jaji sasa mlisema hii kesi ni ya aina gani?
Wakili sisi tunasema haki zilikuwa infringed
Jaji hizo haki zipo wapi si Article 30?
Wakili ndio ni Article 30.
Jaji sasa kama ni Article 30 ya Katiba ndio zimevunjwa. Swali letu hii ni kesi gani? Ya Kikatiba au sio ya Kikatiba.
Jaji mwingine anasema sasa hapa una address jambo gani hebu tuambie maana kila kitu kina utaratibu wake sasa tueleze.
Anasimama Wakili Kiharuzi kuwa applicants hawahangaiki na haki za kikatiba.
Ila wanachosema ni maombi ambayo yanawaomba ku comply na matakwa ya kisheria hii ni CIVIL Case. Inawalazimisha
Jaji hebu subiri kwanza hoja hapa ni kwamba order ya zuio inaathiri haki zingine za Kikatiba, unasemaje?
Wakili sisi tunasema hayo ndio matokeo ya kosa walilolifanya.
Jaji kwahiyo unasema ni sahihi kuwa constitutional right zimekuwa infringed au vipi? Usituambie mambo ya inawezekana. Tujibu kuwa haki za kikatiba za wanachadema zimenyimwa au hazijanyimwa kwa maoni yako sasa?
Je haki ya kufanya siasa ni haki ya kikatiba au sio? Je mtu akizuiwa ni sahihi?
Sisi hatukufika kwenye Katiba anasema Wakili.
Jaji ndio tunawauliza hii kesi yenu ni Civil Case?
Wakili ndio hii ni Civil Case.
Jaji sasa kwanini hamkuiita Plaint na iwe ni Civil Case.
Jaji mwingine kwahiyo hii mnasema kuwa ni Suit under Civil Procedure na haikuletwa kwa njia ya Plaint? Unasemaje hapa.
Wakili, Mheshimiwa Jaji hii ni Civil Case.
Anakaaa anasimama tena Manywele Waheshimiwa Majaji kuhusu suala amri ya zuio inadumu kwa miezi sita tu.
Part 7 itaendelea kwenye post inayofuata,
Naomba repost yako.
#UPDATES_KESI_YA_MGAWANYO_MALI_ZA_CHADEMA
Part 5
Anasimama Marijani wakili wa Said Issa na wenzake ana manywele mengi kichwani, anazungumza.. nae anapigwa maswali ya haraka haraka.
Jaji kwahiyo unataka kutuambia kuwa political party act nayo inazuia discrimination
Wakili ndio Mheshimiwa.
Sasa naomba niende kwenye hoja ya kwamba kesi ilifunguliwa nje ya muda.
Kwa mujibu wa Para 7 wa petition inasema chama kilimaliza kununu jengo la Chama na ilikuwa mwaka 2019 hivyo basi kuanzia hii tarehe hii hadi 2024 ilikuwa ni miaka sita tu. Kwahiyo ilikuwa ndani ya muda.
Jaji hebu soma para 10 tuone
Para ya 8 pia inasema kipindi ambacho kipo ndani ya muda.
Jaji kwahiyo tarehe ya kumiliki mali ndio cause of action inaanzia?
Wakili ndio inaanzia hapo kwenye para ya 9 pia imesema.
Jaji sasa uliwasikia wenzako kuhusu O.VII wewe unasemaje?
Wakili hiyo haiapply kabisa.
Jaji lakini Wakili umeelewa kweli hiyo O.VII r.1(e)
Wakili sasa jaji hiyo sasa ipo na ilikuwa stated kwenye petition kwenye paragraph nyingi.
Jaji kwahiyo matakwa ya hiyo O.VII yamezingatiwa na ilikuwa stated direct?
Mheshimiwa hiyo nayo haikuwepo direct lakini.
Kwa mujibu wa Section 18(1) ya Limitation Act
Jaji isome kwanza tusikie.
Anaisoma sasa.
Jaji sasa ina apply kwenye hii kesi?
Wakili ndio.
Anayetaka ku recover ni nani kwahiyo? Anamuuliza Jaji.
Wakili anajibu ni hawa wateja wetu.
Kumbe ni hivyo, haya tuendeleee. 😂
Kuhusu issue ya Locus Stand kwa mujibu wa Para. 6 na page 2 ya records
Jaji anasema hebu subiri wenzenu walisema wajumbe wa bodi kujishitaki wenyewe? Mnasemaje?
Wakili Bodi ya wadhamini inashitakiwa tu.
Jaji sasa walikuwa wanashitaki kwa maslahi ya nani?
Wakili walikuwa wanashitaki kwa maslahi ya Chama.
Jaji sasa wenzio wamesema utaratibu wa bodi ya wadhamini kushitaki ikiwa ni pamoja na kuwashitaki trustee wengine maana maamuzi ya bodi ya wadhamini yanapitishwa kwa kura na yanakuwa maamuzi ya Chama.
Wakili sheria nafikiri haisemi hivyo.
Jaji umemaliza au bado?
Wakili nimemaliza.
Anasimama Wakili mwingine anaitwa GIDO anasema kwenye right to be heard nasema kwamba wenzetu walipewa kabisa haki yao ya kusikilizwa.
Sasa ukisoma Tarehe 10 corum inaonesha mawakili wa pande zote walikuwepo. Jebra na sisi tulikuwepo.
Jebra aliomba shauri liahirishwe hadi siku ya ijumaa, Wakili Mulamuzi alijibu na kupinga ombi hilo na baada ya hapo proceedings ziliendelea na Jaji wa Mahakamu kuu alitoa maamuzi na kusema kesi hii hakuna sababu za msingi za kuahirisha.
Hivyo Waheshimiwa majaji hadi eneo hilo haki ya kusikilizwa walipewa wenzetu.
Mahakama ilisema kuwa sababu alizotoa Jebra kujiondoa basi ajiondoe.
Jaji sasa wateja wamemtuma wakili na yeye amejitoa huyo Wakili. Sasa kajitoa inakuwaje kwa aliyemtuma nae tunamsaidiaje?
Mh. Jaji alisema Mawakili walikuwepo wengi
Jaji sasa sisi tunataka hali ikiwa hivyo tunafanyaje?
Jaji wapili anasema naongezea hapo hukuona kuna umuhimu wa wateja kujulishwa.
Anasema Jaji wa tatu na mimi naongezea tusaidia una authority yoyote katika unayosema?
Hii inaitwa Mbwa Kala Mbwa hawa wazee ni watanzania kweli? 😂 mbona kama leo wamebadilika. Wanapeleka moto sana. Kama hawataki vile.
Wakili anajibu sasa, hata kesi walizoleta ni za Mahakama kuu kuhusu haki ya kusikilizwa haiwalazimishi muifuate.
Jaji sasa wewe yakwako ya Mahakama ya Rufani iko wapi?
Zile sababu Jaji aliziona ni delay tactic.
Jaji sasa hilo lipo wapi kwenye hukumu? Hivi hujawahi kukutana na uamuzi wa Mahakama unaosema makosa ya Wakili hapaswi kuumizwa mteja?
Jaji mwingine tena anasema tena Wakili alijitoa wakati Mahakama ilishasema hapa leo tutaendelea. Sasa huoni kulikuwa na umuhimu wa wateja kuambiwa.
Wakili anajibu anasema Respondent walipewa haki ya kusikilizwa na muwakilishi waliyemtuma hakutaka kuitumia haki hiyo.
Anasimama Marijan anasema naomba ni address inshu zingine.
Part 6 itaendelea kwenye post inayofuata,
Naomba repost yako.
#UPDATES_KESI_YA_MGAWANYO_MALI_ZA_CHADEMA
Part 4.
Mahakama imerejea.
Anasimama Mpale Mpoki na kusema uwakilishi kwa upande wetu ni kama ilivyokuwa awali.
Kwa upande wetu na sisi upande wa waleta maombi uwakilishi uko vile vile.
Alban Fidelis Kairu anasimama na kuanza kusema kwa niaba ya akina Said Issa nitajikita kwenye areas mlizozisema.
Naomba ruling ya Said Issa kuadapt Sect. 4 ya Appellate Jurisdiction naomba kuitumia ruling hiyo katika kujenga hoja zangu.
Hoja ya tukishindwa kuelezea value ya subject matter.
It is proper kwa mujibu wa para 7,8,11, 12 na 14 and 15 ya Petition waliweza ku state value ya subject matter za property ambazo ni mali za Chama.
Pia walisema Chama kilikuwa kina own property zenye thamani ya bilioni 4.
Para 11 ya petition hao petitioners wali allege kuhusu pesa ambazo Chama kilikuwa kinamiliki kwenye Account number za Chama.
Ukiangalia kwenye reply yao walipinga mambo hayo sasa kwa vile wao walipinga basi halikuwa pure point of law.
Jaji anamuuliza kwani uamuzi wa Jaji ulikuwaje kuhusu suala hilo la value ya subject matter?
Ilisema kuwa monetary value haikuwa issue kwasababu hawakudai masuala ya mgawanyo wa pesa.
Jaji sasa tuambie value ilikuwa shilingi ngapi?
Mheshimiwa jaji para ya 7 inasema hivyo.
Jaji tuambie sasa mliandika wapi kwenye petition yenu value ya subject matter.
Mhe. Jaji sasa hapa
Hivi soma CPC kuhusu value ya subject matter inasemaje?
Jaji amemwambia asome sheria inasema kuwa lazima kuwe na statement inayoonesha value ya subject matter.
Expressely haipo lakini impliedly ipo, inasema huyu Bwana mdogo.😂
Jaji hebu sema sasa hiyo Para. 25 unayoase.a inasemaje? Au ndio hiyo ina statememt?
Haya uamuzi wa Jaji umesemaje kuhusu suala hilo maana naona kama ndio unajibu leo haya mambo.
Mheshimiwa Jaji value hazikuunganishwa.
Jaji anamuuliza kwahiyo hiyo ipo kwa mujibu wa O.VII?
Jamaaa amechanganyikiwa hawa wazee wanapiga sana maswali.
Majaji wa Mahakamaa ya Rufani ni kama wao ndio Mawakili aiseee.😂
Alban Fidelis Kairu anaendelea kuhusu Court fees hilo ni suala la Mahakama halikuwa suala letu.
Uamuzi wa Mahakama kuu uliotolewa ni kweli haikuwa Kesi ya Kikatiba. Na Appllicants walikuwa wanalalamikia under Political Party Act.
Jaji sasa kama haikuwa Constitutional case ilikuwa ni kesi gani?
Wakili wa akina Said Issa hii kesi yetu ilikuwa ni Petition. Inaanzia ukurasa wa kwanza.
Jaji wa Mahakama ya Rufani isome kama ilivyo.
Wakili anasema imeandikwa CIVIL CAUSE.
Jaji na huko chini imeandikwaje?
Wakili amasema imeandikwa Petition.
Jaji: Sasa hapo nini ni nini?
Mheshimiwa haya mambo magumu lakini ndio yako hivyo. 😂
Jaji sasa katika suit kuna civil case, constitutional case. Hii ni ipi?
It is suit under political parties Act anajibu wakili wa serikali.
Jaji labda tuendelee na wenzako pengine watakusaidia. Haya endelea tu.
Naomba niwasomee uamuzi wa Mahakama kuu ulivyosema. Anausoma hapa.
Kwa kifupi huyu jamaa anayeitwa Wakili anayoongea hata Majaji hawamuelewi. Wanangonga maswali yakutosha. Kwanza sauti yake imeisha kabisa sasa hivi hatumsikii. Ananong'oneza tu kule mbele. 😂
Waheshimiwa Majaji ukurasa wa 720
Jaji sasa hiyo si ni ile barua?
Wakili anajibu ndio.
Jaji sasa hiyo barua inaelezea ruling na ruling ndio inapingwa wewe hatukuelewi hapa unasema nini?
Wakili mimi nasema Jaji alikuwa sahihi tu.
Jaji sasa yale madai yenu yana affect constitutional right wewe unasemaje?
Wakili anasema hizo rights tulizosema tuna refer kwenye Political Party Act.
Jaji unataka nikukumbushe kila walichosema ili uweze kujibu? Wewe hukuwasikia?
Waheshimiwa walitaja Article 12 na 30 hazihusiani na kesi iliyopo Mahakamani. Hakuna constitutional demand iliyopo.
Jaji kwahiyo unasema ulikuwa una demand nini?
Sisi tunademand kuvunjwa kwa Katiba ya Chadema na matakwa ya Sheria ya Vyama vya Siasa.
Part 5 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba repost yako.
#UPDATES_KESI_YA_MGAWANYO_MALI_ZA_CHADEMA
Part 3
Anaendelea Wakili wa upande wa waleta maombi Hekima Mwasipu
Sasa amri ya Mahakama iliyotolewa ilisema Respondents hawapaswi kutekeleza majukumu yao hadi kesi ya msingi itapoisha.
Sheria imesema ikiisha miezi sita walioenda kuomba order wanapaswa kuomba kuongezewa muda.
Hivyo ni wasilisho letu kuwa kutokusema kipindi cha zuio hilo ni kosa kisheria.
Niende kwenye hoja nyingine sasa:
Anaendelea Hekima Mwasipu kuwa order ilizuia Respondents kufanya shughuli za siasa.
Ibara ya 21(1) ya Katiba yetu inasema shughuli za siasa na utawala ni haki ya Kikatiba.
Ibara ya 20 haki ya kukutana na kutoa maoni yao, Mahakama kuu imetoa order ya Chama kisikutane na kufanya shughuli zake.
Kesi ya Augustino Lyatonga Mrema pia ilisema Mahakama hii ya Rufani ilisema baada ya Mrema kwenda kuondoa viongozi wa TLP na ombi la kutaka mahakama itoe amri ya kuzuia shughuli za siasa kwa Mrema kwani ni kuwazuia hadi innocent people kufanya siasa.
Hili halina tofauti na kilichotokea kwa Chadema kuzuia wanachama wote kufanya shughuli za siasa hii haiko sahihi.
Lakini Waheshimiwa Majaji pia kuna barua ya mawakili wa waleta maombi wanaomba msajili wa Mahakama kuu atoe ufafanuzi wa order ya zuio kwa Chadema.
Ni wasilisho letu kuwa hata Mawakili wa waleta maombi hawakuelewa amri ya Mahakama.
Kesi ya Mrema inasema amri ya zuio kwa Chama ni hatari na haitekelezeki.
Naomba nimkaribishe tena Dr. Nshala.
Dr. Nshala kesi ya Jidawi, Jaji alisema board of trustee should not be eqquited with other activities of the party.
Jukumu lake ni moja tu kumiliki mali za Chama, shughuli za Chama na wanachama huwezi kusema watawajibika kwa bodi ya wadhamini.
Kuna swali la Jaji Maige Mahakama inaweza kutoa amri ya injuction lakini hii amri waliyotoa wamemzuia Katibu Mkuu kutumia Mali wakati yeye sio mmiliki wa mali hizo.
Lakini pia imewazuia bodi ya wadhamini kufanya siasa wakati wao sio kazi yao kufanya siasa.
Ni amri ya zuio ambayo imejichanganya, haieleweki na haitelelezeki.
Sasa Jaji alitoa amri ambayo hana mamlaka nayo.
Attilio vs Mbowe inasema lazima kuwepo na Prima facie case lakini katika hili hakuna prima facie case ambayo imekuwa established na pia vigezo vingine Mahakama ilisema kama chakwanza kipo basi na vingine vipo.
Amemaliza Dr. Nshala anasema naomba aje Wakili Mpoki kufunga.
Mpoki naomba sasa tumalizie hapo.
Jaji wa Mahakama ya rufani amesema tukutane baada ya nusu saa so tunaenda mapumziko.
Tukirudi tutaendelea na part 4
Naomba repost yako.
#UPDATES_KESI_YA_MGAWANYO_MALI_ZA_CHADEMA
Part 2
Anaendelea Dr. @rugemeleza
Uamuzi huo wa Jaji aliutoa bila kuelewa trustees zinavyofanya kazi.
Wakifungua Trustee yao ni watu wamoja na kama itatokea mgongano mmoja anafungua kesi basi anashitaki wenzake kwa nafsi zao.
Kifungu cha 14 cha Trustees Incoporation Act, kinasema all trustees inco. under this Act, they should be answerable in their acts as if there is no such trustee incorporation.....
Sasa kwahiyo tuna incompetent suit hawa 2nd and 3rd ni trustee na kwa mujibu wa sheria walipaswa kuwashitaki other trustee kwa majina yao wenyewe na sio kuishitaki Trustee.
Jaji wa Mahakama kuu alipaswa kuifuta na kuifukuza hii kesi kwa mujibu wa vifungu vya Sheria.
Logic behind ni kwamba trustees wana fiduciary relationship to each other ni lazima useme wenzangu wamekosea nini?
Madai mbele yenu kulikuwa na makosa ya Mahakama kuu na hakukuwa na competent suit before the Court of Law.
Kwenye hoja ya Jurisdiction ni kwamba nani ana mamlaka na Vyama vya siasa?
Kama unasema kumekuwa na ukiukwaji na Sheria ya Vyama vya siasa madai kama hayo yanaenda kwa Msajili ndo maana Msajili wa Vyama vya siasa amepewa mamlaka hata ya kufuta Chama cha siasa kama Chama husika hakijatekeleza matakwa ya Sheria ya Vyama vya siasa.
Jaji sasa katika kuamua jambo hilo alisema sio suala la ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, hilo ni suala la kisheria.
Kesi ya Mbeya Rukwa Mahakama ya Rufani ilisema jambo ambalo mamlaka fulani au taasisi ya kiserikali imepewa mamlaka ya kulishughulikia.
Basi Mahakama isiingilie kabla mamlaka hiyo husika haijafanya maamuzi.
Dr. Nshala anasema amemaliza sasa anaomba Wakili Hekima Mwasipu nae aendeleee.
Anaendelea Mwasipu
Ni ukweli kwamba Order 10/06/2025 ilitolewa bila Respondent kuwepo Mahakamani.
Kilichotokea ni kwamba maombi ya Revision yalikuja kusikilizwa lakini wakati wa kuanza kusikilizwa Wakili Jebra Kambole aliomba kesi iahirishwe aende kumsindikiza Wakili mwenzake kuzika.
Mahakama ikamkatalia na ikaendelea na kusikiliza maombi husika.
Pia Wakili Jebra Kambole akaomba kwenda kuhudhuria msiba wa Dada yake Hekima Mwasipu.
Jaji akakataaa tena.
Jebra Kambole alisema naomba kuondoa instructions yangu kwasababu sitaweza kuwawakilisha wateja wangu vizuri.
Wakili wa waleta maombi alisema tunaomba kuendelea exparte kwasababu respondents hawapo.
Sasa sisi hoja yetu ni kwamba je ni utaratibu gani unapaswa kufuatwa wakili anapoondoa instruction kwa wateja.
Kesi ya Abdala Chuga vs Halima Ismail ni kesi ya Mahakama kuu haiwabani waheshimiwa Majaji wa Mahakama kuu katika uamuzi huu ambao hauwabani lakini tunaomba kuwashawishi muukubali na kuutumia.
Mahakama Kuu ilisema baada ya Wakili kujiondoa katika kesi basi Mahakama kuu inapaswa kuwatumia summons wateja wa wakili husika na kumpa taarifa.
Kesi ya Andrew Gwande Sule Vs Republic nayo pia inasema ni lazima respondents ni lazima mteja apewe notice lakini jambo hili halikufanyika.
Implication yake ni nini?
Respondents hawakupewa ni ibara ya 13(6)(a) ya Katiba inasema linapoamuliwa suala lolote kuhusu haki yake ni lazima sasa mtu huyo apewe haki ya kusikilizwa.
Kesi ya Mbeya Rukwa inasema Natural right ni haki ya Kikatiba na sio suala ambalo tumelipokea kama mapokeo tu bali ni takwa la Sheria zetu.
Sasa remedy ya mambo haya ni nini?
Kesi ya Ntagazwa ni reported na Mahakama ya Rufani ilisema kuwanyima haki ya kusikilizwa maana yake proceedings zote ni haramu na ziondolewe.
Na sisi ndio ombi letu kuwa proceedings zote baada ya Wakili Kambole kujiondoa basi Mahakama inapaswa kufuta yote yaliyoendelea baada ya hapo.
Naomba niende kwenye hoja nyingine.
Kwa mujibu wa CPC inasema ukitoka kutoa amri ya zuio isizidi miezi 6 kama itatokea jambo hilo bado lipo Mahakamani basi atatakiwa kwenda kuomba kuongezewa muda.
Part 3 itaendelea kwenye post inayofuata,
Naomba repost yako.
#UPDATES_KESI_YA_MGAWANYO_MALI_ZA_CHADEMA
Part 1
Mahakama imeanza!
Mawakili wa pande zote mbili wapo.
Anaanza Wakili wa upande wa waleta maombi Mzee Mpale Kaba Mpoki @MpaleMpoki
Kuhusu hoja ya Cause of action ilianza lini yani madai ya akina Said Issa na wenzake yalianza lini wao wanasema ni mwaka 2016.
Kwa Mujibu wa Sheria ya Law Limitation Act kipindi cha mwisho kwa kesi ambazo hazijaelezwa na sheria itakuwa ni miaka 6 lakini wao wameleta kesi hii baada ya miaka 9.
Na jambo hili hawajalisema kwenye kesi yao ya msingi hata hiyo ya kuwa cause action ilianza mwaka 2016.
Wamekuja kuisema baadae kwenye pingamizi lao kuwa Mwenyekiti wa Chama asiunganishwe kwenye maombi yao ya msingi.
Sasa sisi tunasema kwenye shauri/maombi ya msingi hawakusema cause of action ilianza lini lakini hata hili la 2016 walilolisema liko nje ya muda.
Labda ingekuwa kesi ya Kikatiba wangeweza kuruhusiwa maana hakuna limitation of time.
Lakini hii kesi yao sio ya Kikatiba kwasababu kwanza imesikilizwa na Jaji mmoja na hakuna kesi ya Kikatiba inasikilizwa na Jaji mmoja.
Sasa Effect ya kutokuweka Cause of Action O. VI r.11 ya Civil Procedure Code katika hali ya kawaida hii kesi ilipaswa kuwa rejected na Court kwasababu haikuonesha ni lini Cause of action arouse.
Eneo lingine ni Failure to raise the value of the property. Takwa la ku disclose cause of action pia iko O. VII r. 1(i) ya CPC. The value of the subject matter of the Suit is of paramount importance for the case to be admitted.
Sheria inasema tunaweka value ya subject matter ili kuonesha pecuniary jurisdiction lakini kuisaidia mahakama kujua inacharge kiasi gani ili kuilipia gharama za kusajili kesi husika.
Sasa Ukurasa wa tano wa bando tulilowapa. Mara nyingi tungeona wamesema value ya subject matter lakini hawajasema.
Madai yao yaliyopo ukurasa wa nne wanadai distribution un even distribution of party asserts na pia paragraph 7 inasema tuna nyumba mikocheni yenye thamani ya milioni 726, landed property zenye thamani ya bilioni 2 na usheee, kulikuwa na magari 8 yenye thamani ya 576 milioni, Pikipiki 478.
Sasa hawajasema thamani ya wanachokidai ni shilingi ngapi?
Tumeangalia kwenye filing system imelipiwa kama fees ya shilingi elfu 50.
Sasa naomba niwapeleke kwenye GN. No. 247/2018 Court Fees Rules ambayo inasema inazidi kiwango cha juu zaidi inapaswa kulipiwa milioni 5.
Receipt ambayo tumeiona ni ya elfu 50, mtu ambae anaamua walipe shilingi ngapi angesema walipe milioni 5 na sio elfu 50.
A case has been deemed proper filed once the proper fess has been paid accordingly and as it is required by the law. Sasa ni wasilisho letu ni kwamba order ya injuction haikuwa sahihi kutokana na hakukuwa na kesi iliyofailiwa Mahakamani. Na tunaona lilikuwa ni pungufu kubwa sana.
Sasa naomba Dr. Rugemeleza Nshala aendeleee.
Dr. @rugemeleza anaanza. Nawashukuru sana kwa nafasi.
Naomba nizungumze hoja moja kwanza ukurasa wa 4 wa petition yao. Kwenye hoja ya Kikatiba.
Anasoma maneno yao ambayo wanasema viongozi wakuu wamekuwa wakisema maneno dhidi ya Zanzibar ambayo yanatishia Muungano na utendaji kazi wao kama wazanzibari.
Sasa Maneno haya yanaonesha madai yao ni ya Kikatiba. Na kesi hii ilipaswa kuwa ya Kikatiba. Lakini kesi hii imesikilizwa na Jaji mmoja na haikuwa kabisa kesi ya Kikatiba.
Jaji alipelekewa suala hili akasema mambo ya Kikatiba tuachane nayo. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa sana. Ilikuwa ni hatari sana kwa Jaji mmoja kujivika madaraka ambayo hana.
Kesi za Kikatiba yanaletwa chini ya BRADEA au kwa mujibu wa ibara ya 108 ya Katiba. Hawajafanya hivyo.
Haya Madai yao yana UVUNDO sina Lugha nyingine ya kutumia Waheshimiwa Majaji wa Mahakama ya Rufani.
Sasa Dr. Nshala anaendelea hapa.
Wafungua maombi wa 2 na 3 wamesema wao ni member wa Board of Trustees ya Chama.
Sasa sisi tunasema hawawezi kufanya hivyo kwasababu wanapingana na Trustee Incorparation Act.
Part 2 itaendelea kwenye post inayofuata,
Naomba repost yako.
Wakati Mh. Rais anaugua, sisi tulishirikishwa kama vyombo vya ulinzi na usalama.. Mimi nikiwa kama mwenyekiti wa wakuu wa vyombo vya usalama"
"Tulikuwa tukienda kumuona Ikulu, asubuhi na jioni hadi baadae
tulipompeleka Mzena"
Haya si maneno yangu...
Kuna Muhindi mmoja alikuwa Chief accountant wa kampuni moja ya mafuta Bongo, sasa tajiri akawa anashangaa mbona kila akichezesha kukwepa kodi jamaa wa kodi wanashtukia michezo yote.
Akachoka akawapa hela nzuri jamaa wa kodi then akawaambia wamtajie nani anawatonya michezo👇