Hon Raila Odinga never Gives up , Nothing can derail him ,Today he took Azimio La Umoja Message to Kimilili, Webuye and finally Bungoma town in Bungoma county and the outcome is evident ,while Kalonzo Musyoka is waiting at his home For Baba to endorse himπ
#AzimioMtaaniBungoma
Baada ya kamati maalumu ya kitaalamu nchini Kenya kuandika katiba kwa kuangalia mapendekezo ya kila pande, Kura ya Maoni ilifanyika tarahe 4 Agosti, 2010 na hatimaye kuzinduliwa kwa Katiba Mpya ya Kenya tarehe 27 Agosti 2010β. #KatibaMpya#WenyeNchiWananchi
"I am with you and will watch over you wherever you go. ... I will not leave you until I have done what I have promised you." (Genesis 28:15) God's promises are YES and AMEN. He walks with us even when we're not worthy His mercy.
Have a blessed Sundayππ
#NgaiMbere
Matokeo ya vita hii yana maana kubwa sana kwa Putin. Anahitaji kushinda ili aendelee kuwa na ushawishi wa kisiasa nchini kwake na duniani kwa ujumla. Kushindwa kwake ndilo anguko lake. Na atamfanya Rais wa Ukraine aingie kwenye historia kwa heshima ambayo hakutegemea kuja kuipata