“Much love, my friend—I miss you deeply. You are still one of the finest brains this country has. I’m keeping you in my prayers—may God give you the courage, strength, and resilience to rise above every challenge before you.”
Katika dini zetu tumefundishwa kuwa Mungu hutujaribu kupitia mali, afya, familia na watoto. Hivyo tuwe na imani thabiti kwa Mwenyezi Mungu, tuvumilie na tusimame imara katika kila hali. 🤲
Usiwafanyie watu mabaya tu, bali pia usiwatamanie mabaya mioyoni mwako. Maana dunia ina mzunguko—unayotenda au kutamani kwa wengine, nayo hukurudia. Chagua wema kila wakati. 🙏