Leo hii tumeanza rasmi shamrashamra za maadhimisho ya miaka 25 ya PASS Trust, miaka ya mafanikio kuwezesha ukuaji na kubadilisha maisha ya watanzania kupitia mageuzi ya sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi.
Asante kwa kuwa sehemu ya safari hii pamoja nawe.
#Miaka25NaPASS#Kilimo
Congratulations to Denmark on the celebration of Constitution Day 🇩🇰
As a proud beneficiary and partner of the RDE's support for over 26 years, we join in celebrating the enduring values of inclusive devlpt that continue to strengthen partnerships & create impact in agric sector
On June 5, we celebrated Denmark's Constitution Day 🇩🇰
For 177 years, Denmark's Constitution has provided the foundation for democracy, freedom of expression, and freedom of assembly.
A special evening of reflection, dialogue and community.
Uongozi wa MCODE umeshiriki Jukwaa la Wadau wa Zao la Soya lililoandaliwa kwa ushirikiano wa AGCOT, Serikali ya Mkoa wa Ruvuma, IITA, PASS Trust na MCODE, kwa lengo la kujadili maendeleo, fursa, na mikakati ya kuimarisha uzalishaji na masoko ya zao la soya nchini.
Zoezi la uvunaji wa soya likiendelea katika shamba la Mkulima Bw. Miti, Peramiho Maposeni Songea chini ya uangalizi wa taasisi ya MCODE kupitia mradi wa kuendeleza zao la Soya.
#SoyaYetuMaendeleoYetu.
Zoezi la uvunaji wa soya likiendelea katika shamba la Mkulima Bw. Miti, Peramiho Maposeni Songea chini ya uangalizi wa taasisi ya MCODE kupitia mradi wa kuendeleza zao la Soya.
#SoyaYetuMaendeleoYetu.
Do you love tea? Today is the #InternationalTeaDay!
On this World Tea Day, PASS Trust continues its commitment to empowering tea farmers across Tanzania by improving access to finance and investment opportunities that strengthen productivity, livelihoods, and sustainable growth.
Songea MC – Ruvuma.
Kikao cha Mkuu wa Wilaya, Wakuu wa Idara, pamoja na viongozi wa MCODE na PASS Trust kimefanyika kujadili mikakati ya kuongeza tija ya zao la soya, kuimarisha upatikanaji wa masoko kwa wakulima, na kuboresha lishe katika jamii.
What happens when you reduce the risk of lending to smallholder farmers, women and youth in Tanzania?
We invite you to read the endline evaluation of our SIDA's guarantee endline evaluation through this link. Let us know what you think.
https://t.co/NbxyRs9gJ2
Farmers in Ruvuma are stepping back into their fields with renewed confidence.
With better seeds, practical training, and stronger market access, the soybean value chain project support is helping boost incomes, improve household nutrition, and build resilient rural communities.
Our recent field visits to farmers in Mbinga, Songea, and Namtumbo in Ruvuma (January 2026) reaffirm one thing; when #soya productivity meets structured markets and financing, smallholder farmers win.
The project is supported by the @NorwayMFA in #Tanzania
PASS Leasing is looking for a qualified Credit Risk Manager – Lease to join our team in Dar es Salaam, Tanzania.
If you have strong experience this is your opportunity to make an impact in empowering agribusiness.
Deadline: 14th November 2025
Apply now: https://t.co/IKiQep79vO
PASS Trust is looking for a passionate and experienced Project Manager to lead the Soybean Value Chain Support Project in Songea.
Bring your expertise in agriculture, agribusiness, or project management.
Deadline: 14th November 2025
Today at the #AGTS2025 in Zanzibar, our MD shared how we're de-risking agribusiness lending and unlocking capital for grain value chains:
- Wheat & grain compacts
- Moving smallholders from informal to structured finance
- Call for govts & financiers to mainstream guarantees
Today, PASS Trust MD Yohane Kaduma met with @EAGrainCouncil ED Gerald Masila to discuss the upcoming 11th #AfricaTradeSummit in Zanzibar & wheat value chain opportunities in Tanzania. PASS is committed to driving agribusiness growth through partnerships & value chain financing.
What gives banks the confidence to lend to #agriculture businesses despite the risks?
PASS Trust Managing Director, Yohane Kaduma explains.
For more detailed information watch here https://t.co/pGtcOZerF4 via @YouTube@MwananchiNews
AGRIBUSINESS AND VALUE CHAINS
@TheCitizenTz exclusive conversation with Yohane Kaduma, our Managing Director. 🌱
The interview focused on what's shaping the future of agribusiness in Tanzania. #PASSat25
Watch the full interview here https://t.co/pGtcOZerF4
🌱 Kizazi cha leo & kesho kinahitaji kilimo cha kisasa chenye tija 🌍. Usikose #TunzaDunia Ijumaa | 29 Agosti 2025 kupitia vyombo 26 vya habari, ambapo Mhe. Yohane Kaduma ataeleza mustakabali wa kilimo na mazingira.
@mainstream_group_tz @pass_trust
Kaa tayari🔥... Ijumaa ya tarehe 29/8/2025 tunakuletea mahojiano maalum na Mkurugenzi Mkuu wa @pass_trust ,Bwn. Yohane Kaduma.
Usikose kusikia kwa undani kuhusu Kilimo na utunzaji wa mazingira .
.
Powered by Mainstream Group
.
#TunzaDunia#kilimo#mazingira