Mchezo mzuri Yanga. Mmeonesha kiu na juhudi ya kuiletea heshima nchi yetu hadi kufikia hatua hii. Tunatarajia makubwa zaidi kutoka kwenu kwenye mashindano haya (Ligi ya Mabingwa ya Shirikisho la Soka Afrika) msimu ujao. Tutaendelea kuwaunga mkono na kuwapa motisha.
Safari yetu ya mashindano ya Kimataifa imefikia tamati. Shukrani kwa Wachezaji wetu, Benchi la Ufundi, Viongozi, Wanachama na Mashabiki wetu wote kwa kuwa nasi kwenye kipindi chote cha mashindano haya.
๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐ฐ #TimuYaWananchi#DaimaMbeleNyumaMwiko
Naipongeza Klabu ya Yanga kwa kufanya vyema katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), na kufanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali. Mafanikio haya yameandika historia kubwa kwa klabu na sekta ya michezo nchini. Mmeleta furaha kwa mamilioni ya mashabiki wenu na Watanzania kwa ujumla.
Big thank you to all the FANS, my TEAMMATES, MANAGERS for HONORING me on this day which was dedicated to me it was magical and pleasant I will never forget this love you have for me. ๐๐
I spent last weekend in New York amidst amazing professionals from all works of life under the @MIPAD100 organization.
I am so honored to be 1 out of 100 amazing honorees of African Descent as part of the 2023 MIPAD class under Media & Culture.
I am so happy to see that my work is seen both in Nigeria and all over the world and I dedicate this award to my ever amazing fanmily; BeeNavy โ๏ธ.
To every Nigerian girl reading this, THE WORLD IS YOUR OYSTER AND YOU ARE THE PEARL!
Beauty Tukura the Brand is just getting started!