official twitter account for Hamic'Max.
@youngAfricaSC
follow @Max_phone_accessessories on Instagram, Facebook, Truth and Threads.
X as @Max_Phone_Access
Kuna wakati unaweza unaweza kushindwa kusafiri kwa sababu tu basi ulilopanga kusafiria limekuacha baada ya kuchelewa. Hupaswi kujilaumu kama hili litakutokea. Mara nyingine Mungu huwa anaingilia kati ili kukuepusha na baya ambalo lingeweza kukutokea ndani ya basi hilo.