#ZAKATUL AL-FITRI
• Kiwango cha Zakatul Al-ftri kwa Mtu mmoja ni wastani wa Mchele Kilo 3.utajitolea wewe mwenyewe na kila ambae anakutegemea katika Chakula ...Watoto ,Mke n.k
#ToaZakaJitakase#LishaMasikini#ZakafitriIbaada
#UFAHAMU:-Miongoni mwa Alama za Unafiki Kubwa(نفاق عقدي):-
1.Kuchukia Sharia ya Allaah.
2.Kuwa na Shaka na Mafundisho ya Uislamu.
3.Kuona Uzito na kuwa Mvivu katika Ibaada ya Swala.
5.Kuchukia kuenea kwa Uislamu.
#UnafikiMkubwa#UnafikiMbaya
•Amesimulia Mama Aisha (Allaah amridhie):-
"Pindi linapo ingia Kumi la Mwisho la Ramadhan ,Bwana Mtume Muhammad(ﷺ) anakesha Usiku wake,ana amsha familia yake,anafanya bidii na kujitahidi kufanya Ibaada".
Bukhary No 2024 ,Muslim No1174.
#KumiLaMwishoRamadan
#DUA:-
"ذَهَبَ الظَّمأُ وابتلَّتِ العُروقُ وثبَتَ الأجرُ إن
شاءَ اللَّه"
•Hii ni Dua ambayo kila Muislamu anatakiwa aisome wakati wa Kufuturu.
#RamadanDua#IbaadaDua#DuaMuhimu
#UFAHAMU:-
•Miongoni mwa Sababu zinazo fanya Nyumba kupata Baraka na Kheri:-
1.Kuswali
2.Kusoma Qur'an
3.Kusoma Surat Al-Bakara
4.Kufanya Toba na Istighifaar.
5.Kutoa Sadaka
6.Dua na Dhikri
7.Kumswalia Mtume (ﷺ)
8.Kuunga Undugu.
#BarakaRamadan
#UFAHAMU:Qunut inafaa kusomwa Kabla ya Rukuu au Baada ya Rukuu,lakini Kusoma Qunut baada ya Rukuu ndio jambo mashuhuri na lilio hifadhiwa zaidi".
#QunutWitri#DuaIbaada#SwaumRamadhan
#UFAHAMU:-Sharti za Tauba:-
1.Ikhilaas
2.Kujutia Dhambi
3.Kutorejea Dhambi
4.Kujitoa Katika Dhambi
5.Kutubia katika Muda unao kubaliwa Toba
6.Kurudisha Vitu vya Dhulima,Kuwaomba msamaha ulio wakosea.
#TubiaKwaAllaah#AchaMaasi#MweziWaToba
#UFAHAMU:-Miongoni mwa Tabia za Watu wa Bida'a ,(1) Kupotosha Maana ya Qur'an na Sunna(2)Ufataji wa Upofu(3)Kushikamana na Shubuhaat na Mambo yenye Utata(4)Kutojali Sanadi(5)Ujinga na Ufahamu Mchache.
#TabiaWazushi
#UFAHAMU:-Kumlee Mtoto wako Katika Malezi ya Kiislamu ,Maana yake umlee Misingi ya Uislamu Safi alio ufundisha Mtume Muhammad(Salla Allahu alayhi wasallam)kupiga vita Kufru,Shirki ,Bidaa na Maasi mengine,na kuwa na Tabia njema.
#AlQusheiry
#NUKUU:Amesema Qatadah(Allaah amrehemu):-"Mtu ambae hajui Ikhitilaf za Kifiqh huyo bado hajainusisha pua yake Elimu ya Fiqh".Jaamii Bayaan Al-Elim Wa Fadhilhi,Ibn Abdul Bary.
#ElimuKhilaaf#FiqhMuqaarana#SababuIkhitilaaf
#UFAHAMU:-
Kusoma Nyiradi na Adhikar (Maalumu)kila baada ya Swala ya Taraweeh au Swala za kawaida ni Bidaa na Uzushi katika Dini,ni wajibu kwa kila muislamu kujiepusha na Uzushi huu