i|POLITICS|
All men are created equal... with certain unalienable Rights... among these are Life, Liberty and the pursuit of Happiness.
~ Thomas Jefferson
HIVI Africa kabla ya kuletewa Historia yenye tafiti za Wazungu kwamba Binadamu Ametokana na nini.? kwenye hizo Theory Tatu!!!. Nyie Kwenye Historia Yenu na Tafiti zenu Hamjui Mmetokana na nini KABISA?.
Wanaowaambia watu wasiandamane wasiishie tu kuwapa madhara ya maandamano hayo.
Bali wawape majibu ya sababu na agenda zinazowafanya waandamane!
Ukiwaambia tu madhara tena kwa vitisho haitasaidia, wanaweza ogopa kwa muda mfupi na kesho wakayapanga tena.
Lakini ukiwapa majibu ya kueleweka ya agenda zao wataachana na maandamano!
It’s that simple
When a woman cheats, she does not feel guilty. She becomes angry at the man she betrayed. And the craziest part is this: she rewrites the entire story until he becomes the villain. Eventually, she believes her own lie.
#TajiriLaKihaya
KUNA MASWALI MAKUBWA YANAYOPASWA KUJIBIWA MUHIMBILI NA JKCI.
Leo familia yetu imepoteza mdogo wetu. Moyo wangu umejaa huzuni, uchungu na maswali mengi ambayo hadi sasa hayajajibiwa.
Siku ya kwanza nilipofanikiwa kumpeleka mdogo wangu JKCI na kupata chumba cha VIP, nilifurahi sana. Niliona kama tumepata mwanga wa matumaini. Baada ya vipimo, tuliambiwa tatizo lake la moyo lilihitaji upasuaji mdogo tu na angeweza kuendelea na maisha yake kawaida.
Tukaahidiwa upasuaji ungefanyika ndani ya siku mbili au tatu.
Lakini siku zikageuka wiki.
Kabla hata ya kulazwa, tulikuwa tumepambana kwa zaidi ya mwezi mzima tukizungushwa kutoka leo hadi kesho. Mara daktari hayupo, mara jopo la wataalamu halijakaa, mara kipimo kirudiwe, mara tusubiri dawa zifanye kazi kwanza. Kila siku ilikuwa ni ahadi mpya na tarehe mpya.
Baada ya kulazwa tuliamini safari ngumu imekwisha. Lakini ndipo mateso makubwa zaidi yalipoanza.
Mdogo wangu aliingia hospitalini akiwa bado anaweza kutembea, kuongea, kula na kujitambua. Kila siku tulisubiri upasuaji ulioahidiwa, lakini haukufanyika. Badala yake hali yake ilianza kuzorota mbele ya macho yetu.
Wiki moja ikapita.
Wiki mbili zikapita hadi wiki tatu
Hakukuwa na upasuaji.
Kulikuwa na sababu mpya kila siku.
Kisha tukahamishwa kutoka chumba tulichokuwa tumepewa kwa madai kuwa kingefanyiwa fumigation. Lakini usiku huo huo mgonjwa mwingine akawekwa kwenye chumba hicho. Hadi leo hatujui ukweli ulikuwa nini- lazima UFISADI ULITUMIKA HAPA!
Tulihamishiwa chumba kingine JAPO kilikua VIP… ila hakikua kwenye standard sawa!
Hata nakumbuka kuna Daktari wa Kihindi alikuja kusoma vipimo akasema ile MONITOR haipo sawa! Mapigo ya moyo na oxygen haisomeki kwa usahihi…
Sasa kwa nn tulihamishwa chumba? Kutoka chumba kizuri kuja hiki?? Kwa nn kile tulichokuwepo alipewa mwingine usiku huo tumehamishwa? CORRUPTION!
Baada ya hapo hali ya mdogo wangu ilizidi kuwa mbaya zaidi. Akapoteza nguvu, akashindwa kuzungumza, akashindwa hata kuwatambua watu waliomzunguka.
Tulikuwa tunauliza maswali. Tulikuwa tunaomba msaada. Tulikuwa tunaomba hatua zichukuliwe haraka.
Lakini muda uliendelea kwenda.
Leo asubuhi mdogo wangu amefariki dunia.
Siandiki haya kwa hasira pekee. Naandika kwa maumivu ya familia iliyokuwa na matumaini makubwa ya kumuona mpendwa wao akirudi nyumbani akiwa mzima.
Kama kweli kulikuwa na uzembe, kucheleweshwa kwa huduma, ukosefu wa uwajibikaji au mifumo mibovu ya utoaji huduma, basi kuna haja ya uchunguzi wa kina na hatua kuchukuliwa. Maisha ya Watanzania yana thamani. Wagonjwa hawapaswi kupoteza maisha wakisubiri tarehe nyingine, kikao kingine au ahadi nyingine.
Tunataka majibu.
Tunataka uwajibikaji.
Na zaidi ya yote, tunataka familia nyingine isipitie maumivu tuliyoyapitia sisi.
Kama hapa ni VIP… je wagonjwa wa kawaida wanapata huduma gani???
Pumzika kwa amani mdogo wangu. Tulipambana kwa kila tulichoweza. Mungu akupokee katika makao ya milele. 💔🕊️
Despite spending time in Belgium and later France under quarantine and medical screening measures to ensure they had not contracted Ebola, not a single DR Congo supporter traveling from Kinshasa was granted a U.S. visa for the World Cup. Among them was Michel Nkuka Mboladinga, better known as “Lumumba,” an iconic Leopards supporter who became one of the most recognizable faces of AFCON 2025.
Since the start of this tournament, we have been witnessing clear bias against African countries embedded in visa and immigration systems.
Shakira’s performance today was nothing short of legendary. The aura, the moves, the vocals, she turned the opening ceremony into her own concert. Simply epic.
When you cut ties with your brothers, you have no right to dictate who they choose to hang out with.
They say blood is thicker than water until water washes away the blood.
People have a right to go through their emotions, the issue is getting extreme & aggressive unprovoked like throwing women with children out of the hospital.
Clubbing has to be the most overrated adulthood activity ever. You'll just be wasting money on alcohol and unnecessary noise while pretending to have fun
If you died tomorrow your family could not access a single thing you own digitally.
Bank accounts. Crypto. Passwords. Cloud storage. All of it locked permanently.
Here is how to fix that in 30 minutes: