Hakuna cha kuongea zaidi ya kuwapongeza hawa vijana. Kiukweli hata hapa walipofika wametushangaza wengi.
I hope huu ni mwanzo tu. Tutakuwa na mwendelezo mzuri na kushiriki mashindano kama haya mara kwa mara ili kuongeza exposure kwa vijana wetu.
Up Tanzania ๐น๐ฟ