@ezekiel_kamwaga Kwa uelewa wangu mdogo kuwa na mutual defence pact na nchi kama hizo ni lazima uwe indispensable kwa namna fulani; hatuna state of the art military technology na sidhani ni WA muhimu sana kwa Urusi na China kuingia vitani kwa niaba yetu
@KennedyMmari Public schools were originally modeled out of prisons and as Africans we inherited these schools as institutions with the purpose of manufacturing "makalani" and purpose wise they haven't moved very far from what they were intended to be in the first place
@Thommunkondya Tatizo sio uzalendo bali ukosefu wa maono na ubinafsi pindi Viongozi wanaposhika madaraka; Mtu anaiba mabiliioni badala ya kununua hata mitumbwi ya kutosha hapo baharini watu wapate ajira na yeye afaidike wanaishia kuficha pesa uswizi au kununua magari ambayo hata hawatembelei
@Getrude_mollel EU inahitaji rasiliamali watu (akili) ya Israel, ukija kwetu Tanzania haiihitaji rasiliamali watu (vichwa vyetu vina maajabu Gani?) bali inahitaji rasiliamali zilizopo kwenye ardhi ya Tanzania
USIJIPE UMUHIMU KWENYE MIPANGO YA WATASHA
@SGahamanyi How do you COUNTER RUMORS?
by telling the truth or maintaining an illusion of accountability when it comes to personal shortcomings or that of your administration
When rumors are trusted more than the government's official narrative then the problem is the government
@Africanfeeds Compelling argument, unfortunately I get hit by cognitive dissonance when I pry deeper into my country's political scene
Our politicians misspend and rob us dry off our taxes and yet they are also patriotic enough to defend it's resources?
@SGahamanyi@MusangoSel53388 Putting them in chains? I thought they never came off to begin with
The existing governments have grown too complacent with the "freedom" rhetoric to the point that they've started resembling the colonisers that left
@SGahamanyi@thinkwis When the government is in control of all celebrities, all media houses and all the coffers imaginable and the people still listen to people in foreign lands then know that it has failed