‼️Hii ndo picha halisi ya Muganyiz - dereva wa gari inayomfuatilia Heche ili kumteka na kumdhuru‼️
Picha zile za upelelezi wa Gen Z zimesaidia kumtambua ila hii picha ni 💯 na anajua hii picha ilipigwa lini na wapi! Ajue hatutanii!
Mdau ana uhakika na ana data za kumwaga kuhusu Muganyizi! Huwa anapenda mara nyingi kutumia jina la Egbert Benefaxard Tinkaligaile. Alikuwa ni dereva katika Halmashauri ya mji wa Kyerwa. Alichukuliwa na watu wa mfumo na anapewa kazi za ajabu kama hizi.
Familia yake ikanywe! Kuna data za ziada nimetumiwa hadi za familia ila kwa sasa mtafuteni mwambieni sasa basi!
Kazi za laana achaneni nazo nendeni mkalime kama mmeshindwa kukaa mjini!
#TutaelewanaTu
Last night, Sara and I joined Lindsey Graham’s family and friends in Washington to honor his memory.
America lost a great patriot. Israel lost one of its greatest friends. And I lost a dear friend.
Lindsey’s courage, friendship and commitment to our alliance will never be forgotten.
URGENT: TUNDU LISSU’S LIFE IS IN DANGER
Credible information indicates that Tundu Lissu’s life is at serious risk.
For more than 470 days, Tundu Lissu has been held in detention in Tanzania as an unconvicted prisoner, without a fair and timely resolution of his case.
His continued detention has drawn widespread international condemnation:
1. Amnesty International has declared his arrest unjust and called for his immediate release.
2. The UN Working Group on Arbitrary Detention has concluded that his detention is arbitrary.
3. On 10 July 2026, the Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG) called on the Government of Tanzania to resolve his detention within 30 days.
For more than two decades, Tundu Lissu has faced relentless persecution for his peaceful advocacy for democracy, the rule of law, and the protection of fundamental freedoms in Tanzania. In 2017, he narrowly survived an assassination attempt after being shot multiple times.
The Tanzanian authorities bear full responsibility for Tundu Lissu’s safety, health, and life.
Protect Tundu Lissu.
The world is watching.
—Admin
Tanzanian university lecturer Melkisedek Kaijage has been charged with terrorism after being arrested over allegations of inciting anti-government protests. He is among more than 130 people detained over planned protests calling for democratic reforms. https://t.co/XfOajHaO5G
Siku hizi ukisikia Tz imetrend sehemu basi jua ni kwa habari hizi tu……..
KUMBUKA, familia 2 tu ndio zinaharibu nchi.
Ila Watanzania jueni tutapita hapa na haki itapatikana kwenye nchi yetu.
‼️MAHAKAMA KUU KANDA YA MBEYA IMEAMUA KUTUMIKA‼️
Baada ya Jeshi la Polisi kuwakamata Viongozi wa CHASO Mkoa wa Mbeya tangu Julai 4 na kukaa nao kinyume cha sheria hadi leo.
Julai 11, 2026 Mawakili wetu wakiongozwa Philip Mwakilima walifungua kesi kwa hati ya dharura Mahakama Kuu ya Mbeya kuitaka Mahakama imuite Patrobas Katambi, IGP, RPC & RCO wa Mbeya pamoja na OCD ili wakaseme kwanini hawataki kuwapeleka Vijana hao Mahakamani au kuwapa dhamana.
Ikumbukwe Mawakili walifungua kesi kwa HATI DHARURA ili kesi isikilizwe haraka kwasababu hao Viongozi wa CHASO wanatarajia kuanza mitihani July 20, 2026 ili lakin Mahakama imepanga kusikiliza kesi hiyo July 23, 2026.
Mahakama imeungana na Jeshi la Polisi kuminya HAKI ya Vijana hawa ili wasifanye mitihani yao.
‼️TUMENASA MAZUNGUMZO YA MADALALI WA PROJECT YA KUMSHAMBULIA MHE. HECHE‼️
Huyu anaitwa Shaban Mikongoro ni mpambe wa Susan Kiwanga na ni Kiongozi wa CHAUMA Mkoa wa Morogoro.
Hii Sauti inayosikika hapa ni majibizano kati ya Mikongoro na Kiongozi wa BAWACHA Kanda ya Kati ambapo Mikongoro anasikika akimshawishi Kiongozi huyo akubali kufanya press ya kumtukana Mhe. @HecheJohn kwa ahadi ya ujira wa milioni moja.😂😂😂
Nduli Idd Amin Mama na mwanae Abdul wanachezea kodi zetu kwa kuliipa hawa vibaraka wao ili wamshambulie Mhe. Heche kwasababu hataki kuimba wimbo wa Maridhiano.
Sikiliza mazungumzo haya kwa makini mwanzo hadi mwisho ili uone hawa vibaraka wa CCM walivo na akili ndogo.🚮
Hakikisha unaagalia hii documentary ya kiuchunguzi ya Tundu Lissu ikionyesha alivyoumizwa na familia yake kuteseka!
Kimama kikatili hakina kesi kimekaza fuvu tu!
#FreeTunduLissu
#BBCAfricaEye profiles Tanzanian opposition leader Tundu Lissu as he fights treason charges, for which he could face the death penalty.
Watch the documentary, Tundu Lissu: A Fight Too Far? 🎥 https://t.co/s9pF5KAhXL
HERI YA SIKU YA KUZALIWA, MHE. @HecheJohn ✌️
Leo tunaungana na maelfu ya Watanzania kumtakia Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mhe. John Heche, heri na baraka tele katika kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa.
Katika siku hii ya kipekee, zawadi yenye thamani zaidi tunayoweza kumpatia si maneno pekee, bali ni kuendelea kuunga mkono wito wake wa kujenga chama imara kwa kuchangia kufanikisha Baraza Kuu la Umma.
Mhe. John Heche amekuwa mstari wa mbele akihamasisha Watanzania kushiriki katika ujenzi wa chama. Hivyo, tunawaalika wanachama, wapenzi na marafiki wa CHADEMA kuadhimisha siku hii kwa kutuma mchango wao kwa ajili ya Marathon ya kufikia TSh. Milioni 334.
Zawadi bora kwa Mhe. John Heche ni kuona Watanzania wakijitokeza kwa wingi kuchangia Baraza Kuu la Umma. Kila mchango, mkubwa au mdogo, ni sehemu ya mafanikio ya chama chetu.
Heri ya kuzaliwa Mhe. John Heche! Mwenyezi Mungu akupe afya njema, hekima, nguvu na ulinzi unapoendelea kulitumikia Taifa na CHADEMA.
Happy birthday Makam Mwenyekiti Mhe. @HecheJohn Mungu akujalie maisha marefu yenye baraka na amani tele, Mungu akulinde dhidi ya waovu ili uendelee kuwapelekea moto madhumati.
Tuendelee kuchangia CHAMA ili kufanikisha BARAZA KUU
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
#SamiaMustGo #FreeTunduLissu #TanzaniaMassacre
@HildaNewton21 Ojambi Didas Masaburi, mtoto wa Marehemu Masaburi, mjaluo wa Shirati? Huyo nina nondo za kuangamiza ukoo wote, ngoja wajitokeze kisha nitakuja humu na mafaili ambayo wataguna miaka 100 ijayo.