Leo tulipata heshima ya kumpokea Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa, Cde Debora Tluway aliyemwakilisha Katibu mkuu wa UVCCM Taifa cde Halid Mwinyi , katika Kongamano la Vijana wa Mkoa wa Mbeya lililolenga kujadili maisha ya chuo na baada ya chuo.
Kupitia mada yake, vijana tulijifunza kuhusu fursa mbalimbali za kiuchumi, ujasiriamali, uongozi na ushiriki katika siasa kama nyenzo ya kuleta maendeleo binafsi na ya taifa. Ulikuwa wakati mzuri wa kupata maarifa, uzoefu na hamasa kutoka kwa kiongozi wetu, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa UVCCM wa kuendelea kuwajengea uwezo vijana wa Kitanzania.
UVCCM ya KiGen Z, UVCCM ya vitendo. 💪🏿💪🏿
UKITAKA watu wa dini wakuue, we mseme vibaya mhubiri wao wanayempenda. Hata kama ni kwa nia njema ya kuziponya nafsi zao. Weeh!
Yaani Yesu anawekwa pembeni, unafuatwa unauliwa. Live. 😂
It was a privilege to visit Milan, a city where faith, history, and human achievement blend together in remarkable ways.
The Duomo di Milano, one of the largest church cathedrals in the world, took nearly 600 years to complete. Generation after generation built upon the foundation laid by those who came before them.
I also had the opportunity to visit Leonardo da Vinci’s The Last Supper, a masterpiece that continues to inspire the world more than 500 years after it was painted, depicting Jesus’ final meal with his disciples.
Both were born from faith. Both required extraordinary vision. And both have endured for centuries.
Standing before them, I was reminded that the greatest visions are not those that end with a single generation, but those that continue to inspire and remain meaningful for generations to come.
That is true #legacy.
In the end, the money and success that truly last come not to those who focus on such things as goals, but rather to those who focus on mastery and fulfilling their Life’s Task.
What is your Life's Task? 👇🏼
Do not take so seriously people’s promises or their ardor in wanting to help you.
If they come through, so much the better, but be prepared for the more frequent change of heart.
Rely upon yourself to get things done and you will not be disappointed.
read more books. read to escape reality. read to understand reality. read to challenge what you believe. read to think better. read to write better. read to argue better. read to know yourself. read to build something. a single book can completely rewire your brain.
Human approval is unstable. Someone may praise you today and criticize you tomorrow, so it's wiser to anchor your life in deeper principles than in other people's opinions.
-Nietzsche
-Newton
-Nikola Tesla
-Galileo Galilei
-Leonardo da Vinci
-Kierkegaard
-Voltaire
-Sartre
-Plato
-Kant
-René Descartes
-Baruch Spinoza
-Schopenhauer
-Franz Kafka
-Ludwig van Beethoven
Baadhi ya magenius waolifanya vitu vikubwa sn dunian ila waliamini ndoa ni UTAPELI
Men go home to silence. No one asks how their day was, no one checks if they are okay. And still, they wake up the next day and do it all again. That’s being a man.