Tunapenda sana tulingane maisha ndio maana tunabaki tunafurah mtu anapoteleza hatufiki popote ukiona upo hivyo nyanyua mikono juu na omba mungu akuepushe na hyo dhambi
Unapopata shida ya pesa rafiki mwenye chuki hawez kukusaidia na hatakupa pesa zaidi atakupa pole na moyo wake utajaa nafuraha akifurahia matatizo yako tuwe makini kweny kuchagua marafiki