The Tanzania Basketball Federation (TBF) is the governing body of basketball in Tanzania It supervises and coordinates all basketball-related engagements in TZ.
NBA Global Ambassador and Naismith Basketball Hall of Famer Dikembe Mutombo passed away at the age of 58.
Dikembe loved the game of basketball and made a positive impact on communities across Africa.
He was always accessible at BAL games and events, with his infectious smile, deep booming voice, and signature finger wag that endeared him to basketball fans of every generation.
On behalf of the entire NBA Africa and BAL family, we extend our deepest condolences to Dikembe’s family, his many friends, and the global basketball community, which he truly loved.
🏀 Another busy day in Africa! 🌍
🤔 Who you got as winners today? 💭
🚩 Drop your flags in the comments! 👇
📺 Watch LIVE all games here ⤵️
🔗 https://t.co/JnCe84Vdeq
Kikosi cha Timu ya Taifa ya kikapu itakayoiwakilisha Tanzania katika michuano ya Fiba Afrocan Qualifiers itakayofanyika jiji la Dar es salaam kwanzia tarehe 17-23 juni mwaka huu, Timu zaidi ya 10 kutokea ukanda wa Tano (zone V) zitakuwepo kuchuana.
Raisi wa Shirikisho la Mpira wa kikapu Tanzania Mheshimiwa Michael Kadebe akiwa nchini Uturuki kwenye shughuli zake binafsi, alipata nafasi ya kukutana na Katibu Mkuu wa Shirikisho la kikapu nchini Uturuki Dr. Servan na kujadiliana mambo mbalimbali ya kikapu kwa nchii hizi mbili
Tukutane Tanga kwanzia 4-12 novemba kuja kushuhudia michuano ya crdb taifa cup mikoa zaidi ya 19 kushindana kinyang’anyiro hiko!je unahisi mkoa wako utaibuka kuwa mbabe wa mashindano haya???
🇧🇮 𝐔𝐑𝐔𝐍𝐀𝐍𝐈 𝐐𝐔𝐀𝐋𝐈𝐅𝐈𝐄𝐒!
Tough game between @URUNANI_BBC and @CityOilers but the burundian 🇧🇮 club grabbed the win on a very closed score, putting them into the #Elite16!
#RoadToBAL