Yesterday I dreamt that I was in the arms of a Nairobi woman. I awoke abruptly and wept dearly because a Nairobi woman does not deserve to hold a sensitive young man like me.😰😿
Jamaa za 9-5 ndio hizo zinateremka stairs nanguvu zikipigisha gate ndio zituamshe juu ya wivu. Can you all just go to work without bothering us. Sio sisi tuliwaambia muapply iyo makazi yenu yenye hamupendi. Let the unemployed sleep in peace
For the love of money is the root of all of evil. And by craving it, you have strayed away from the faith and pierced yourselves with many sorrows.
- 1 Timothy 6
Jamaa za 9-5 huwa unaziona town asubuhi na tubag kwa mabega unadhani zimebeba important documents kumbe ni mchele na njahe zimebeba kwa dish bwana. It is very shameful
I completely dont get it. So the same people who were with Ruto when he was killing,looting,and abducting,those who were warning us from protesting thise whom on his behalf were warning us from protesting against his impunity,are now jumping ship to abandon him because he has become unpopular and joining the ‘opposition’ and we’re supposed to support them wholeheartedly? Tuna siasa ya kijinga sana katika democrasia hii yetu ya kenya
Watu wa A walisharauka wako tao wanauza lines za Airtel. Wa D na E wako training KDF na police force. Sisi wa B na C ndio tumebaki kwa keja tukiwatch series