With all the Billions, infrastructural developments & voter bribery that Happened in Ol-Kalau, they still refused to vote for the UDA candidate! Alafu sasa Kuna wale wa kupewa Mkate Soda na Skuma, there's a big problem in Western & Mt Kenya East.
We need to re-run videos from 2007/2008 post election violence. We have forgotten what violence can do to a country. What is going on in this country if not stopped will burn it to the ground
To the mumu who still believe in love, there's nothing wrong with you. Love her but remember every day she meets better men than you... so leave room for disappointment.
Mimi kama kuna mtu nahurumia sahii,ni ile ka boyfriend ya Eve Maina. Sababu ule jamaa unajua sahii ata amani hapati. Those of us who have had attractive girlfriends before that get hit on after every 3 minutes know the anxiety that relationship usually has. Jamaa inajua isipomaintain bar hapo juu,fisi wanapita na nyama yake. Jamaa inaingia twitter namna hii inapata tu ni Mapoem bwana.
Na kitu watu hawajui kuhusu fisi,Fisi iko na kitu inaitwa Endurance. It doesn’t run fast,but runs for long. Fisi itakukimbisa kutoka Makueni mpaka eldoret,ukianguka ufaint juu ya kuchoka,fisi inakusosi. Woi! Sisi kama MTM almaarufu Mwiki Team Mafisi tuko ngangari mbaya sana. Apa mbele mambo inaenda kuchemka vanee
Fikirini Jacob’s, the Youth Affairs PS, hired Cecil Otieno aka Ceska yesterday to mobilize youth for him. After they disagreed on payment, Ceska was shot dead.
Ceska was a well-known “Mobiliser” in Nairobi politics.
No politician is worth your life. Being a goon is not a job.
The girl you dumped because of cheating will now get another jamaa who was dumped because of cheating and tell him that its you who cheated. Then you will find another girl who was dumped because she cheated and she will tell you her ex cheated. Akuna kitu tunafanya apa aki