😥🤦 Nimeiweka kwa Frash yangu Kesho naisambaza Kwa library zote mtaani kwangu Ili waone Wapumbavu waliojivika Vyeo Haramu wanavyotesa Watu SAM ni Mkundu sana 🙄
Uchambuzi Bora kabisa kutoka kwa Furhan sikiliza kisha Bonyeza repost GAIDI.
CHANGIA SASA
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Germans were far ahead when it comes to infrastructure in Tanganyika, sadly our pace is slow.
Let's ask these folks for more investments in railways, plus transfer of technology and skills.
Germans were far ahead when it comes to infrastructure in Tanganyika, sadly our pace is slow.
Let's ask these folks for more investments in railways, plus transfer of technology and skills.
Watanzania @HecheJohn na @TunduALissu wanatuhitaji kupita kiasi.
Heche anapigwa vita sababu kuna viongozi ndani ya Chadema wamefika bei ya maridhiano na CCM so wanajaribu kumuondoa Heche ili waweke mtu ambae atafanya maridhiano..
Nchi imevimba! Asante kijana for speaking Truth to Power!
Tatizo tukiweka maoni ya wananchi mnafikiri tumewatuma au tunasema sisi! Narudia wasikilzeni wananchi na wapeni wanachodai!
Hawaitaki CCM! Hawamtaki Samia Suluhu! Hata mkiunda faka accounts kututukana hamsaidi mnazidi kutia hasira! Na wanataka HAKI na UWAJIBIKAJI kwa mauaji ya Oktoba 2025
Mnaootutishia, kutuambia eti mtatuua tukiandamana mnazidi kuongeza hasira! Vifua vimejaa nyie mnazidi kumwaga petroli kwenye moto!
Hivi huko ndani mmebaki wajinga tu!
#TutaelewanaTu #SamiaMustGo
Mwaka Mpya wa Kanisa ni Tarehe 25 November Kulingana na Gregorian calendar.
Je na sisi tutaruhusiwa Kusheherekea Mwaka mpya wa Kanisa?
Hii nchi ina Wapumbavu wasioweza kuficha hisia na upumbavu wao.
"Tulipoingia Bungeni mwaka 2015, hii barabara ya Old Bagamoyo ilikuwa inajengwa miaka sita baadae wanaibomoa wanaweka mwendokasi. Yaani hawakuwa na mawazo tu kwamba hapa tutakuja kuweka mwendokasi, waweke kipindi hicho, mabilioni ya fedha yamewekwa hapa na leo wanayateketeza."
.... Cha kwanza kinachoanza ni plan (mpango), hawa watu hawana mipango, hawana maono, hawana uelewa- kwahiyo kila kitu wanachokifanya ni zimamoto na ndio maana barabara inajengwa leo kesho ina matundu. Mimi nimeenda Ujerumani nakuta barabara ya mwaka 1890 haijawaji kubomoka ila hapa kwetu tuna matatizo lukuki, hata nikikuuliza wewe ni kipi CCM wameweza, utaniambia nini kimoja.?"
"CCM na mfumo wake ni total failure, ni disaster kwa nchi hii na kuwaacha kuendelea kuongoza hata kwa nusu saa ijayo ni kuendelea kuumiza Nchi hii. Hakuna ambacho wamefaulu, si maji, si umeme, si barabara, basi walau wangekuwa na kimoja walichofanikiwa lakini hata amani mnayosema kwamba wamefanikiwa kuilinda mimi niwaambie kuwa Nchi hii haina amani, amani hailindwi na mtutu wa bunduki, amani inajilinda yenyewe." - John Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema (bara) akihojiwa na redio BongoFm.
Below is Meta’s own admission, published through its transparency disclosures, that it was pressured by the Tanzanian government to remove content posted by activists and to delete their accounts altogether.
I am the U.S.-based user referenced in these disclosures. All three reports refer to me, @MariaSTsehai, and @Sativa255.
This should concern every American based activist who values free speech.
When a foreign government can pressure a U.S. technology company into silencing voices that are speaking out about human rights abuses, It becomes a direct challenge to the principles of free expression that America was built upon.
The U.S. government cannot allow foreign governments to exercise this level of influence over American technology companies. If authoritarian regimes can dictate who is allowed to speak on U.S.-based platforms, then the rights of American users and the integrity of America’s digital public square are at risk.
@POTUS@realDonaldTrump@SenatorShaheen@SenTedCruz@SenateForeign
Diplomatic protocol or RACISM? 👀
At the Africa Forward Summit in Nairobi, President el-Sisi’s security detail appeared to physically push past Senegal’s President Faye while clearing a path for the Egyptian leader.
The footage is raising serious questions.