Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Mwanasoka wa Karne kutoka Brazil Edson Arantes do Nascimento “Pelé”. Mchango wake katika soka Duniani utakumbukwa daima. Pole kwa Rais wa Brazil @jairbolsonaro, familia & mashabiki wote wa soka. Mungu amweke mahali pema peponi, Amina.