Ebola victim who was safely buried in Uganda was exhumed by family members to perform religious rituals. 10 of those relatives have since died - president
Hii ni Meli ya Nyota 5 ambayo imewasili katika Jiji la Doha nchini Qatar , Meli hii itaweza kuhozi mashabiki kwajili ya kombe la Dunia , Inavyumba 2633 inaweza kuchukua watu 6000 , Mabwawa 6 ya Kuogelea, Maduka makubwa , na Migahawa 13.
Nawatakia kheri wanafunzi wote wa Kidato cha Nne mlioanza mtihani wenu wa Taifa leo Novemba 14, 2022. Naamini mmeandaliwa vizuri na mtafanya vizuri ili muweze kuendelea na safari yenu ya masomo. Nawaombea utulivu na afya njema wakati wote wa mtihani wenu.
Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali ya ndege ya Shirika la Precision katika Ziwa Victoria, mkoani Kagera. Natuma salamu za pole kwa wote walioathirika na ajali hii. Tuendelee kuwa watulivu wakati huu zoezi la uokoaji likiendelea huku tukimuomba Mwenyezi Mungu atusaidie.
Una Degree ya Computer, Engineering Yoyote or IT, na una miaka chini ya 25 na una GPA ya 3.5 ? Kuna hii fursa ya bure kabisa.
TCAA imetangaza mafunzo ya miezi 22 ya Aircraft Mainatainance Engineering (AME) ambayo ni kama urubani flani hivi na yako sponsored 100% 1/2
@SwahiliBible Sahihi kabisa. mimi nimeshapata ajali gari niliyokua naendesha kugongana na bodaboda wakati kuna gari nyingine ili simama kunipisha yeye boda hakusimama