An idea is that posts that I retweet or bookmark should be able to download offline (locally into my device) so that I can view the post later again at my device (when there's no internet connection)—it turns "retweet" and/or "bookmark" buttons as in "download" in Chrome browser
🚨 Bernardo Silva to Real Madrid, HERE WE GO! Agreement in place and contract approved.
Two year deal plus one year option, fast deal by Madrid started 36h ago and closed immediately.
Mourinho wanted Bernardo, he says yes and advanced talks revealed today are 100% confirmed.
🚨💣 BREAKING: Bernardo Silva to Real Madrid, deal set to be sealed as revealed earlier… HERE WE GO, SOON. 🇵🇹
Agreement at final stages after official proposal valid until June 2028 plus potential option.
Bernardo Silva, ready to join Real Madrid.
Father of Aditya Sharma was once celebrating and saying Kudos to Israel for killing lakhs of innocent people in Gaza including children
Today he is pleading to return his son's dead body who got killed in US Navy attack in Oman
Life is so unpredictable, never celebrate other's loss just because you like one specific political narrative
You never know what is waiting for you in future
RIP Aditya Sharma 🙏
🚨💣 BREAKING: Real Madrid sent official proposal to Bernardo Silva, advanced talks to try sign the midfielder.
Deal underway with Mourinho pushing and Real confident to anticipate Barça & Atlético.
He’s a priority for JM, as @jfelixdiaz reports.
🎥➕ https://t.co/D7gSUofHIl
🏆 Referee announced for 2026 #SuperCup!
We're pleased to share that Somali referee Omar Artan will officiate the highly anticipated match between PSG and Aston Villa in Salzburg.
Have canceled my team subscription for Claude Pro.
Idc how good that model is, it’s not good enough for me to support people who actively stifle innovation and gate keep knowledge that they didn’t even create.
KWAKUWA NI HALALI KWA WAZANZIBARI KULINDA HAKI ZA WAZANZIBARI HAIWEZI KUWA HARAMU KWA WATANGANYIKA KULINDA HAKI ZA WATANGANYIKA.
Kwa yanayoendelea kujitokeza katika Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuhusu kujitanabaisha kwa misingi ya Uzanzibari na kulinda maslahi ya Zanzibar, je, si wakati sasa kwa Watanganyika nao kuzungumza kwa uwazi, kuhoji kwa uhalali na kujadili kwa kina masuala yanayohusu haki, hadhi na maslahi ya Tanganyika?
Je, Watanganyika hawana haki ya kuhoji na kulinda:
1. Bandari zilizopo ndani ya Tanganyika.
2. Misitu na rasilimali za mazingira za Tanganyika.
3. Rasilimali za asili zilizopo katika eneo la Tanganyika.
4. Hadhi, haki na umiliki wa ardhi ya Tanganyika.
5. Nafasi, haki na uwepo wa watu wasio Watanganyika katika idara na taasisi ambazo si za Muungano.
6. Uhalali wa viongozi wasio Watanganyika kuingia au kusaini mikataba inayohusu rasilimali za Tanganyika, hususan pale ambapo baadhi ya masuala hayo tayari yameondolewa katika eneo la Muungano kwa upande wa Zanzibar.
7.Kuhoji mchango wa Zanzibar katika kugharimia gharama za uendeshaji wa shughuli za Muungano na Ulipwaji wa Deni la Taifa.
Ikiwa ni halali kwa Wazanzibari kujadili, kuhoji na kulinda maslahi ya Zanzibar kwa misingi ya utambulisho wao wa kisiasa na kikatiba, kwa mantiki hiyo hiyo haipaswi kuwa kosa kwa Watanganyika kuhoji, kujadili na kutetea maslahi ya Tanganyika.
Katika mfumo wowote wa haki, usawa na kuheshimiana ndani ya Muungano, haki ya kulinda maslahi ya Zanzibar haiwezi kutenganishwa na haki ya Watanganyika kulinda maslahi ya Tanganyika.
Haki hizo zinapaswa kutambuliwa kwa usawa, bila upendeleo na bila kuonekana kuwa ni tishio kwa Muungano, bali kama sehemu ya kujenga Muungano wenye misingi ya haki, uwazi na kuheshimiana.
UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI ndiyo Msingi bora wa kuliongoza Taifa kutoka katika vitendo vya Ukatili dhidi ya ubinadamu,ukiukwaji wa Haki za Raia na,Mauwaji na Utekaji vilivyofanyika kanla,wakati na Baada ya Tarehe 29 Oktoba 2026.
BAK MWABUKUSI.
Introducing Claude Fable 5: a Mythos-class model that we’ve made safe for general use.
Its capabilities exceed those of any model we’ve ever made generally available.
Viongozi wa CHADEMA, hizi mambo za ku-sympathize na watu waliosaliti na kutuumiza halafu wanarudi mnawalamba masikio, this time Lissu akiwa gerezani, aisee mnatukosea sana sisi wananchi. Mnatuona sisi ni mazuzu kama CCM wanavyotuona sio? Mmeshaona mnatumudu watanzania eeh! Okay.
Nimeona jana MATALA kapasua BUYOBE na BUYOBE kaja na screenshot za DM za MATALA kipindi anaomba msaada wa matibabu.
Mimi miaka yangu yote hapa X nimeishi nikisaidiwa na washakaji na kusaidia washkaji wengi sana. Misaada niliyopewa kwangu haiwezi kuwa GEREZA LA MAWAZO yangu.
Siku ukileta UPUMBAVU hata kama ulinisaidia milioni KUMI we jua tuu umeyakanyaga na nitakupasua.
Eti kwasababu unasaidia watu DM ndio usigusike kwamba wewe nani? Hizo DM za kuombwa msaada hutumiwi pekeako. Wewe kama unayo nia ya kusaidia usigeuze misaada yako kuwa GEREZA la kufunga watu.
Huo ndio UKOLONI tunaopambana nao. Hata mm kama nimewahi kukusaidia na unaona nazingua we pasua tuu, mm hata sikumbuki kama nilikusaidia nasahau pale tunapomalizana DM.
MISAADA YENU MNAYOTUPA SIO MAGEREZA—BUYOBE JIHESHIMU.
🚨💣 BREAKING ! Omar Abdulkadir Artan, meilleur arbitre CAF 2025, s'est vu REFUSER l'entrée sur le territoire américain. ❌🛂🇺🇸
IL N'OFFICIERA PAS DURANT CETTE COUPE DU MONDE : COMPLÈTEMENT DINGUE ! 😳🇸🇴
Véritable fierté de son pays, il était le premier arbitre Somalien à officier en Coupe du Monde : il devra donc rentrer chez lui.