*Kutongozwa sio ishara ya kuolewa, kutongozwa ni Jambo lingine, na Kuolewa ni Jambo lingine Pia.*
*Unapotongozwa sana isikupe kiburi kuwa Utaolewa muda wowote ukipenda.*
*Heshimu kila Mtu na mjibu kila mtu kwa kuheshimu utu wake.*
......✍️✍️✍️.... ipo hivo yaan